Kamtafuna kwa mkopo wa mil 70Dr. Bashiru ana hasira sana wajumbe wa babati wamemtia spana Puline Gekul wake.
Angemshauri aje apambane na huku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamtafuna kwa mkopo wa mil 70Dr. Bashiru ana hasira sana wajumbe wa babati wamemtia spana Puline Gekul wake.
Angemshauri aje apambane na huku.
David mathayo aliongoza. Kabla ya uchaguzi alikuwa na scandal ya kuhonga ambulance huenda akakatwaKairuki huko upareni hajapita kwenye Jimbo?
Kwan bashiru anamla gekul? LolKwani Bashiru ataacha kumpaka ubunge wa viti maalum Paulina Gekul?
Ama Jiwe atamtosa Angela Kairuki?
Bora kumsitiri mkeo na dada yako ubunge wa bure, kuliko kimada wako tena mke wa mtu.
Ndo usingizi wake nini?Dr. Bashiru atakuwa ana hasira sana wajumbe wa babati wamemtia spana Puline Gekul.
Angemshauri aje apambane na huku.
Akikatwa itabidi na Kigwangalla akatwe alitoa baskeli kwa wajumbe wote!David mathayo aliongoza. Kabla ya uchaguzi alikuwa na scandal ya kuhonga ambulance huenda akakatwa
Kuna had nafasi za NGOs huko, wafanyakazi, walemavuKuna kitu siku kifahamu kumbee bungeni kuna wawakilishi wa taasisi zisizo za serikali ? Niliona ktk ukurasa wa Milad ayo aliandika eti ktk huo mkutano wa uWT Kigoma kuna wawakikishi wa taasissi zisizo za serikal. Sa nikasema taasisi zisizo za serikal zina fanya nn ndan ya CCM ambao CCM ndio serikali
Demokrasia jumuishiKuna had nafasi za NGOs huko, wafanyakazi, walemavu
Hyo Safi inajumuisha ma group yote kwenye jamiiDemokrasia jumuishi
Kashinda huko kwao, mchuano ulikuwa mkubwaComrade johnthebaptist vipi ndugu yetu wa damu Wakudadavuwa amefanikiwa kwenye mtanange?
NGOs mwakilishi wake anachaguliwaje na UWT ambao ni CCM , CCM ndio serikali kwann NGOs zenyewe zisiwe zinachahuana automaticall wanapeleka jina bungeni bqc qnakuwa mwakilishi ambae hafungaman na chama chochote cha siasaKuna had nafasi za NGOs huko, wafanyakazi, walemavu
Umeandika hoja yenye mashiko hapaNGOs mwakilishi wake anachaguliwaje na UWT ambao ni CCM , CCM ndio serikali kwann NGOs zenyewe zisiwe zinachahuana automaticall wanapeleka jina bungeni bqc qnakuwa mwakilishi ambae hafungaman na chama chochote cha siasa
HAJAPITA KAPITA DR VEDASTUS MATHAYOKairuki huko upareni hajapita kwenye Jimbo?
Ulivyomjinga CHADEMA viti maalumu wanatoka majimboni kwa kugombeaChadema wanasubiri kugawia wake zao na dada zao tu