Elections 2010 Kura zilizoharibika 2.x%....!?

Endeleaaa

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2007
Posts
1,485
Reaction score
739
Hivi kweli inawezekana vipi majimbo karibu yote ya Bara na visiwani kura zilizoharibika zinaacheza hapo kwenye 2.x%? Ina maana kutofahamu yetu ya jinsi ya kupiga kura hadi tunaziaribu nchi nzima bila kujali wa mjini na wa vijijini inafanana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…