Elections 2010 Kura zilizoharibika 2.x%....!?

Elections 2010 Kura zilizoharibika 2.x%....!?

Endeleaaa

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2007
Posts
1,485
Reaction score
739
Hivi kweli inawezekana vipi majimbo karibu yote ya Bara na visiwani kura zilizoharibika zinaacheza hapo kwenye 2.x%? Ina maana kutofahamu yetu ya jinsi ya kupiga kura hadi tunaziaribu nchi nzima bila kujali wa mjini na wa vijijini inafanana?
 
Back
Top Bottom