Kurasa 365 za Mama Kitabu cha nne, leo tunazifungulia Mkoani Mbeya, ambapo Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ime

Kurasa 365 za Mama Kitabu cha nne, leo tunazifungulia Mkoani Mbeya, ambapo Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ime

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Kurasa 365 za Mama Kitabu cha nne, leo tunazifungulia Mkoani Mbeya, ambapo Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imepeleka Shilingi Bilioni 16 katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya, kwa ajili ya Ujenzi wa Jengo la Huduma za Mama na Mtoto, pamoja na kuboresha miundombinu katika Hospitali hiyo.

Jengo hilo lina uwezo wa kulaza Watu 200 kwa wakati mmoja, hivyo limeondoa adha iliyokuwepo awali, ambapo Wanawake wengine walilazimika kulala kwenye sakafu wakati wakisubiri au baada ya kujifungua.

#Kurasa365ZaMamaVol4.
 

Attachments

  • VID-20250314-WA0006.mp4
    28.5 MB
Kurasa 365 za Mama Kitabu cha nne, leo tunazifungulia Mkoani Mbeya, ambapo Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imepeleka Shilingi Bilioni 16 katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya, kwa ajili ya Ujenzi wa Jengo la Huduma za Mama na Mtoto, pamoja na kuboresha miundombinu katika Hospitali hiyo.

Jengo hilo lina uwezo wa kulaza Watu 200 kwa wakati mmoja, hivyo limeondoa adha iliyokuwepo awali, ambapo Wanawake wengine walilazimika kulala kwenye sakafu wakati wakisubiri au baada ya kujifungua.

#Kurasa365ZaMamaVol4.

Shida yote hiyo ya nini? Kama kilichofanyika ni kwa ajili ya mwanainchi si atakuwa ameona kwenye eneo lake?

Sasa mnatumia nguvu nyingi kuonesha Rais kafanya hiki na hiki

Majarida kila siku ya kuonesha alichofanya nguvu yote hii mna hofu ya nini?

Kama eneo langu lilikuwa na shida ya maji na serikali imeleta maji je Kuna haja ya kuandika majarida meeeeeengi kuonesha Mama alichofanya?

Au Hofu yenu ni kitu gani?
 
Shida yote hiyo ya nini? Kama kilichofanyika ni kwa ajili ya mwanainchi si atakuwa ameona kwenye eneo lake?

Sasa mnatumia nguvu nyingi kuonesha Rais kafanya hiki na hiki

Majarida kila siku ya kuonesha alichofanya nguvu yote hii mna hofu ya nini?

Kama eneo langu lilikuwa na shida ya maji na serikali imeleta maji je Kuna haja ya kuandika majarida meeeeeengi kuonesha Mama alichofanya?

Au Hofu yenu ni kitu gani?
Ni ujinga tu, kutwa wanafanya kampeni
 
Kurasa 365 za Mama Kitabu cha nne, leo tunazifungulia Mkoani Mbeya, ambapo Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imepeleka Shilingi Bilioni 16 katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya, kwa ajili ya Ujenzi wa Jengo la Huduma za Mama na Mtoto, pamoja na kuboresha miundombinu katika Hospitali hiyo.

Jengo hilo lina uwezo wa kulaza Watu 200 kwa wakati mmoja, hivyo limeondoa adha iliyokuwepo awali, ambapo Wanawake wengine walilazimika kulala kwenye sakafu wakati wakisubiri au baada ya kujifungua.

#Kurasa365ZaMamaVol4.
Na hiyo ndio faida ya kua na kiongozi madhubuti mzalendo kwa manufaa ya waTanzania wote.

well done Dr Samia Suluhu Hassan 💪👊🙏
 
Back
Top Bottom