Kurasimisha makazi eneo la machimbo ya mchanga, Kunduchi(mashimoni) ulikuwa uamuzi sahihi?

Kurasimisha makazi eneo la machimbo ya mchanga, Kunduchi(mashimoni) ulikuwa uamuzi sahihi?

DON YRN

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2019
Posts
606
Reaction score
1,453
Ni kweli muda mwingine mambo huwa yanabana hadi mamlaka za Serikali kuamua kufanya maamuzi pengine yanaweza kuwa ya ajabu na kusikitisha kwa upande mmoja lakini pia kwa muda huo huo kwa upande mwingine yakawa ni maamuzi ya kutia moyo na kufurahishwa wananchi.

Swali langu ni; Je, Mamlaka za Serikali zilikuwa sahihi kuidhinisha machimbo ya mchanga na kokoto katika eneo la Kunduchi(maarufu mashimoni) na maeneo kama hayo nchini kuwa eneo rasmi kwa ajili ya makazi?

Madhara endelevu ya mabadiliko ya tabia ya nchi yalizingatiwa ikiwemo mafuriko na hata mvua za EL-NINO?.
 
Ni kweli muda mwingine mambo huwa yanabana hadi mamlaka za Serikali kuamua kufanya maamuzi pengine yanaweza kuwa ya ajabu na kusikitisha kwa upande mmoja lakini pia kwa muda huo huo kwa upande mwingine yakawa ni maamuzi ya kutia moyo na kufurahishwa wananchi.

Swali langu ni; Je, Mamlaka za Serikali zilikuwa sahihi kuidhinisha machimbo ya mchanga na kokoto katika eneo la Kunduchi(maarufu mashimoni) na maeneo kama hayo nchini kuwa eneo rasmi kwa ajili ya makazi?

Madhara endelevu ya mabadiliko ya tabia ya nchi yalizingatiwa ikiwemo mafuriko na hata mvua za EL-NINO?.
Alafu sasa kule ndio hakuna mafuriko nimewahi kuishi for 3 years
 
Who cares? Ccm is a failure kwenye issue serious zaidi ya hili. I will never take this goverment serious, leave alone ccm.
 
Who cares? Ccm is a failure kwenye issue serious zaidi ya hili. I will never take this goverment serious, leave alone ccm.
Lile eneo watu wamevamia mana zamani walikuwa wanajenga mabanda ya kuti ili wajistiri wakiwa wanafanya hizi kaz za kuchimba mchanga pale. Wakaanza kujenga na vibanda vya kudumu kuyafabya makazi.

Leo hii wakichomolewa kwa nguvu pale Bado myaigeuza ajenda ya kupigia kampeni. Serikali ifanyeje weka mapendekezo yako hapa
 
Lile eneo watu wamevamia mana zamani walikuwa wanajenga mabanda ya kuti ili wajistiri wakiwa wanafanya hizi kaz za kuchimba mchanga pale. Wakaanza kujenga na vibanda vya kudumu kuyafabya makazi.

Leo hii wakichomolewa kwa nguvu pale Bado myaigeuza ajenda ya kupigia kampeni. Serikali ifanyeje weka mapendekezo yako hapa


Have zero time to waste, hii nchi haijakosa idea, imekosa will to do the right thing....
 
Serikali inabidi squatter zote wazi upgrade

Ova
 
Back
Top Bottom