Kurejea kwa Lissu nchini

Kurejea kwa Lissu nchini

lugoda12

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
276
Reaction score
574
AFADHALI urejeo wa TUNDU LISSU unaweza ukawa na nguvu flani katika chama ukilinganisha na hapo kabla.

Kila mwanachama wa CHADEMA amefurahi urejeo wake, sasa ni wakati sahihi kwa Chama kuanza kurejesha matumaini kwa wananchi wake ambao tayari walikuwa wamekata tamaa kutokana na matokeo ya UCHAGUZI mkuu wa mwaka 2020.
 
AFADHALI urejeo wa TUNDU LISSU unaweza ukawa na nguvu flani katika chama ukilinganisha na hapo kabla.
Kila mwanachama wa CHADEMA amefurahi urejeo wake, sasa ni wakati sahihi kwa Chama kuanza kurejesha matumaini kwa wananchi wake ambao tayari walikuwa wamekata tamaa kutokana na matokeo ya UCHAGUZI mkuu wa mwaka 2020.

Matokeo ya 2020 hayakutafanya tukate tamaa, bali yalitufanya tudharau zoezi la uchaguzi. kwa sasa hata kama Lisu amerejea, itakuwa ngumu kupata wapiga kura wengi kama tume ya uchaguzi na katiba itakuwa hii hii. Maana kwa sasa hapa Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Back
Top Bottom