Kurekebisha Redio ya gari Panasonic Strada

Kurekebisha Redio ya gari Panasonic Strada

Emperor of the South

Senior Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
140
Reaction score
151
Wakuu kwema?
Nimekutana na changamoto kutumia redio iliyopo kwenye gari (ilikuja na gari) aina ya Panasonic Strada kwani hai-respond chochote na inaonekana inatakiwa kuwa na SD card ambayo kwasasa haipo. Je, kuna namna ya kuifanya redio hii ipige kazi fresh?? Ikiwa on inakua na muonekano kama kwny picha hapa.
 

Attachments

  • IMG_8622.jpeg
    IMG_8622.jpeg
    84.3 KB · Views: 12
Card ya nini mkuu.? Card kwaajili ya navigation tu.
Screenshot_20240607-141630.png
 
Kuna watu watakwambia uibadilishe ufunge android
 
Yaani hapo mchawi utundu kidogo mixer Google Translate unaset fresh inaonekana nzima kabisa hiyo.. ila ulijichanganya tu na lugha
Wakuu kwema?
Nimekutana na changamoto kutumia redio iliyopo kwenye gari (ilikuja na gari) aina ya Panasonic Strada kwani hai-respond chochote na inaonekana inatakiwa kuwa na SD card ambayo kwasasa haipo. Je, kuna namna ya kuifanya redio hii ipige kazi fresh?? Ikiwa on inakua na muonekano kama kwny picha hapa.
 
Kuna watu watakwambia uibadilishe ufunge android
Hizo android sizielewi kbs kwakweli ndo maana naihitaji sana hii ikae sawa.
Mwenye ufahamu wa kutibu hii shida anieleweshe.
Shukrani sana
Kuna watu watakwambia uibadilishe ufunge androi
 
Yaani hapo mchawi utundu kidogo mixer Google Translate unaset fresh inaonekana nzima kabisa hiyo.. ila ulijichanganya tu na lugha
Nilipokwama kutumia google translate ni kwamba functions zote hapo hazi-respond ukibonyeza, ko nikadhani inahitaji hiyo card kabla ya mambo mengine
 
Back
Top Bottom