Kiplayer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,180
- 1,964
Tunaporithishana majina huwa tunarithishana vingine vingi vinavyoambatana na mwenye jina linalorithiwa. Inachanganya sana, hii iko vipi wataalam wa mambo?
Lakini nimeshuhudia koo nyingi zinafana kizazi kimoja kwenda kingine. Mtazamo wangu majina tunayorithi huwa yanaambatana na tabia, hali aliyokuwa nayo mmiliki wa awali wa jina. Ndio maana koo tajiri zimeendelea kuwa tajiri na masikini zimeendelea kuwa masikini.
Lakini nimeshuhudia koo nyingi zinafana kizazi kimoja kwenda kingine. Mtazamo wangu majina tunayorithi huwa yanaambatana na tabia, hali aliyokuwa nayo mmiliki wa awali wa jina. Ndio maana koo tajiri zimeendelea kuwa tajiri na masikini zimeendelea kuwa masikini.