Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Ukimchunguza Peter Msigwa, kidhabu na muongo wa mwaka, durusu hata marafiki na wandani wake ambao bado wako Chadema.
Ukishawajua, jiulize, je Msigwa, swahiba wa Jiwe, alikwenda kuandaa njia kwa ajili yao kurudi nyumbani?
Je ni mpango wa muda mrefu wa kuiua CHADEMA? Kumbuka, Nyerere aliwahi kuisifia CHADEMA.
Je watu wa namna hii ni wa kuaminiwa au kushabikia?
Tudurusu na kutafakari pamoja.