Father of All JF-Expert Member Joined Feb 26, 2012 Posts 7,672 Reaction score 9,039 Jan 15, 2025 #1 Ukimchunguza Peter Msigwa, kidhabu na muongo wa mwaka, durusu hata marafiki na wandani wake ambao bado wako Chadema. Ukishawajua, jiulize, je Msigwa, swahiba wa Jiwe, alikwenda kuandaa njia kwa ajili yao kurudi nyumbani? Je ni mpango wa muda mrefu wa kuiua CHADEMA? Kumbuka, Nyerere aliwahi kuisifia CHADEMA. Je watu wa namna hii ni wa kuaminiwa au kushabikia? Tudurusu na kutafakari pamoja.
Ukimchunguza Peter Msigwa, kidhabu na muongo wa mwaka, durusu hata marafiki na wandani wake ambao bado wako Chadema. Ukishawajua, jiulize, je Msigwa, swahiba wa Jiwe, alikwenda kuandaa njia kwa ajili yao kurudi nyumbani? Je ni mpango wa muda mrefu wa kuiua CHADEMA? Kumbuka, Nyerere aliwahi kuisifia CHADEMA. Je watu wa namna hii ni wa kuaminiwa au kushabikia? Tudurusu na kutafakari pamoja.
Akilindogosana JF-Expert Member Joined Jan 12, 2020 Posts 4,303 Reaction score 12,679 Jan 15, 2025 #2 Au Tundu lissu atajiunga ccm.......muda utazungumza
M Mbangaizaji wa Taifa JF-Expert Member Joined Dec 25, 2024 Posts 493 Reaction score 844 Jan 15, 2025 #3 Msigwa anarudi CHADEMA trh 22.01.2025
M Mbangaizaji wa Taifa JF-Expert Member Joined Dec 25, 2024 Posts 493 Reaction score 844 Jan 15, 2025 #4 Akilindogosana said: Au Tundu lissu atajiunga ccm.......muda utazungumza Click to expand... Sasa mkt wa CDM anaendaje CCM?
Akilindogosana said: Au Tundu lissu atajiunga ccm.......muda utazungumza Click to expand... Sasa mkt wa CDM anaendaje CCM?
Akilindogosana JF-Expert Member Joined Jan 12, 2020 Posts 4,303 Reaction score 12,679 Jan 15, 2025 #5 Mbangaizaji wa Taifa said: Sasa mkt wa CDM anaendaje CCM? Click to expand... Muda utazungumza..........kuwa na akiba ya maneno
Mbangaizaji wa Taifa said: Sasa mkt wa CDM anaendaje CCM? Click to expand... Muda utazungumza..........kuwa na akiba ya maneno
M m4cjb JF-Expert Member Joined Jul 23, 2012 Posts 8,457 Reaction score 3,033 Jan 15, 2025 #6 Pumba tupu