Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiukweli hakuna kitu kilichowafrustrate Clouds media kama kuondoka kwa Gerald Hando. Yule jamaa ni kichwa sana nje ya utangazaji.
Ruge alifanya kosa sana kumwachia. Sasa clouds ina struggle sana kujiimalisha maana ata waliorudi bado hawajakata kiu ya waskilizaji.
Kiufupi Gadna na Kipanya wamekuta generation yao imeacha kusikiliza radio ni kama wanaanza upya kuendana na hii era.
Nimesikitika sana kuondoka kwa Gerald Hando. Jamaa anajua sana kutangaza. Power breakfast aliiwezea sana, zaidi zaidi yupo vizuri kichwani, anajua kuhoji kwa weledi na kuchambua mambo vizuri sana, kujenga hoja...nk, nk.
Sidhani kama Kipanya ataweza kuvaa viatu vya Hando.
Fredwaa nae ndio hata sielewi anachofanya pale.
Hah hah hah hah hahMwendo wa kuji "bland" mpaka kieleweke
Watanzania bwana, wakati Gerald Hando na PJ bado wapo, watu humu humu mlikiwa mnadai wale wapayukaji hawana lolote wanaongea bila kusikilizani na mambo mengi, huku mkidai bora enzi za akina Masoud Kipanya.
Sasa bwana Ruge kawaondoa kawaletea akina masoud, mnaanza kusema akina Gerald Hando walikuwa wanajua akina Masoud wanapwaya.
Aisee ni ngumu kuwaelewa wa Tanzania wenzangu wanataka nini unless uwe kichaa.
Kwa bahati mbaya unaonekana huijui Power Breakfast, ngoja nikupe uzoefu kabla Hando hajawa huyu unayemjua wewe KP ndio alikuwa master plan wa PB baada ya Kipanya kuondoka yeye na Fina ndipo wakaamua kumtafuta Mtangazaji wa kike atakeyeshika nafasi ya Fina sasa kama ulikuwa unasikiliza PB kipindi kile utagundua Hando alikuwa anafanya Copy za KP kila kitu na Barbara ndio alikuwa Fina kila kitu. Sasa ukisema KP hujui kama atavaa viatu vya Hando basi unamkosea heshima KP kwasababau na wale wasikilizaji wa ukweli wa PB ndio wanarudi sasa.Nimesikitika sana kuondoka kwa Gerald Hando. Jamaa anajua sana kutangaza. Power breakfast aliiwezea sana, zaidi zaidi yupo vizuri kichwani, anajua kuhoji kwa weledi na kuchambua mambo vizuri sana, kujenga hoja...nk, nk.
Sidhani kama Kipanya ataweza kuvaa viatu vya Hando.
Fredwaa nae ndio hata sielewi anachofanya pale.
Mkuu hakuna kitu muhimu kama generation, generation yako ikipita utaangaika sana na haitosaidia.Kwa bahati mbaya unaonekana huijui Power Breakfast, ngoja nikupe uzoefu kabla Hando hajawa huyu unayemjua wewe KP ndio alikuwa master plan wa PB baada ya Kipanya kuondoka yeye na Fina ndipo wakaamua kumtafuta Mtangazaji wa kike atakeyeshika nafasi ya Fina sasa kama ulikuwa unasikiliza PB kipindi kile utagundua Hando alikuwa anafanya Copy za KP kila kitu na Barbara ndio alikuwa Fina kila kitu. Sasa ukisema KP hujui kama atavaa viatu vya Hando basi unamkosea heshima KP kwasababau na wale wasikilizaji wa ukweli wa PB ndio wanarudi sasa.
Fredwa alitamba wakati yupo RFA, sasa kashajipoteza na hawezi kurudi tena kwenye kiwango kile.Nimesikitika sana kuondoka kwa Gerald Hando. Jamaa anajua sana kutangaza. Power breakfast aliiwezea sana, zaidi zaidi yupo vizuri kichwani, anajua kuhoji kwa weledi na kuchambua mambo vizuri sana, kujenga hoja...nk, nk.
Sidhani kama Kipanya ataweza kuvaa viatu vya Hando.
Fredwaa nae ndio hata sielewi anachofanya pale.
Mimi ni wa dar es salaam hasa.nilizaliwa muhimbili hospital miaka kadhaa iliyopita,nikakulia magomeni,ilala,kinondoni na mwananyamala.Nilikuwa sijui kama kumbe na Wewe una sura za Vijana wa Dar es Salaam! Hata Mimi nimeona sasa si vyema kutumia picha za Watu na nimeamua kuitumia hiyo hapo ambapo ndiyo Mimi mwenyewe hutaki shauri yako.
Hiyo yote washukuliwe washindani wa hiyo redio kwani ndipo hapo thamani ya kina Kipanya ilipoonekana.
Masoud Kipanya Na Gadnar wana takiwa washukuru sana ujio wa E FM kwani ndio iliyo pandisha thamani zao
Hii ndo yale yale ya Magufuli kumshkuru Lowassa.....I never understand this logic..................anyways, labda ni hizi bangi nnazovuta
Unashindweje kuelewa kitu kidogo kama hiki au ndio unataka tuamini tunachowaza kwamba wewe kichwa cha panzi.
Mimi ni wa dar es salaam hasa.nilizaliwa muhimbili hospital miaka kadhaa iliyopita,nikakulia magomeni,ilala,kinondoni na mwananyamala.
na sasa naishi kwenye kakibanda kangu huku kimara bonyokwa.
Hongera kwa kutumia avatar yenye sura yako halisi.
Sijui walichokwazana na Hando lakini hakuna ubishi Clouds wamepoteza pakubwa....hata wakijitutumua vipi sioni ni kwa vipi wanasawazisha hilo pengo.Nimesikitika sana kuondoka kwa Gerald Hando. Jamaa anajua sana kutangaza. Power breakfast aliiwezea sana, zaidi zaidi yupo vizuri kichwani, anajua kuhoji kwa weledi na kuchambua mambo vizuri sana, kujenga hoja...nk, nk.
Sidhani kama Kipanya ataweza kuvaa viatu vya Hando.
Fredwaa nae ndio hata sielewi anachofanya pale.