majeshi 1981
JF-Expert Member
- Dec 7, 2013
- 2,090
- 812
Wakuu naombeni msaada wenu, mke wangu alijifungua mtoto mwaka mmoja uliopita kwa njia ya operation lakini hadi sasa haoni siku zake.
Hii imemletea hofu kubwa sana ingawaje hataki kunieleza lakini naona kabadilika na kupungua sana, pamoja na kuendeleza kiapo changu kwake cha kumpenda muda wote wa raha na shida lakini naona hataki kubadilika.
Naogopa hata kumwambia nimpeleke hospitalini kucheki tatizo lakini nahofia kumwongezea tatizo pindi akipewa majibu ambayo ni negative kwake na kwangu.
Je? ni kawaida kukaa muda wa mwaka mmoja bila hedhi baaada ya kujifungua? Wakuu, tatizo hapa linaweza kuwa ni nini? Naombeni ushauri wenu kwani mke wangu ni mpole sana na sitaki hauzunike hata kidogo.
Hii imemletea hofu kubwa sana ingawaje hataki kunieleza lakini naona kabadilika na kupungua sana, pamoja na kuendeleza kiapo changu kwake cha kumpenda muda wote wa raha na shida lakini naona hataki kubadilika.
Naogopa hata kumwambia nimpeleke hospitalini kucheki tatizo lakini nahofia kumwongezea tatizo pindi akipewa majibu ambayo ni negative kwake na kwangu.
Je? ni kawaida kukaa muda wa mwaka mmoja bila hedhi baaada ya kujifungua? Wakuu, tatizo hapa linaweza kuwa ni nini? Naombeni ushauri wenu kwani mke wangu ni mpole sana na sitaki hauzunike hata kidogo.