Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kumekuwa na wimbi kubwa la kuongezeka michango ya lazima katika shule za serikali, baadhi ya michango hiyo ni majengo, taaluma, madawati lakini watu wameenda deep zaidi hadi pesa za mitihani ya shule.
Hizi ni dalili tosha kabisa kwamba sera ya Elimu bure haitekelezeki.
Ndugu zangu kushindwa sio dhambi, dhambi ni kuendelea kudanganya kwamba umeshinda wakati umeshindwa.
Kama ilivyokuwa kwenye Corona, serikali itangaze RASMI KUACHANA NA ELIMU BILA MALIPO!
Sisi ni waungwana sana, kama tulivyokubali kwenye tozo kandamizi basi hata kwenye hilo tutakubaliana na serikali.
Kazi iendeleee!
Kumekuwa na wimbi kubwa la kuongezeka michango ya lazima katika shule za serikali, baadhi ya michango hiyo ni majengo, taaluma, madawati lakini watu wameenda deep zaidi hadi pesa za mitihani ya shule.
Hizi ni dalili tosha kabisa kwamba sera ya Elimu bure haitekelezeki.
Ndugu zangu kushindwa sio dhambi, dhambi ni kuendelea kudanganya kwamba umeshinda wakati umeshindwa.
Kama ilivyokuwa kwenye Corona, serikali itangaze RASMI KUACHANA NA ELIMU BILA MALIPO!
Sisi ni waungwana sana, kama tulivyokubali kwenye tozo kandamizi basi hata kwenye hilo tutakubaliana na serikali.
Kazi iendeleee!