Poleni na pilila za hapa na pale wana JF. Naomba kuuliza ukirudia mtihani(kutafuta kredit) na ukafaulu vizuri.Je kuna uwezekano wakupangiwa katika shule za serikali?Natarajia majbu mazuri.
wala huwezi, pesa yako ndiyo itakayokusongeza mbele , ......ila ukiwa umemaliza form 6 na ukafaulu vz, unaweza
omba mkopo wa kwenda chuo kikuu na wengi wanapewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.