Kurudia kumnyonyesha mtoto maziwa ya mama siku 10 baada ya kumwachisha

nosimo

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2015
Posts
247
Reaction score
50
Habari wakuu, ukirejea kichwa cha habari hapo juu, nini madhara yake?

Mwanangu ana mwaka na miezi 9, jumatatu iliyopita nilimwachisha nyonyo ila kwa sasa najuta naumia na kuna wakati nalia maana anahangaika na kuteseka mno.

Usiku na mchana analia tu hali kitu anataka kunywa maji tuu amekonda sana, Ninafikiria kurudia kumpa nyonyo tena ila naogopa madhara yake!

Asanteni.
 
tena usirudie kunyonyesha tena! madhara yake mtoto ataharisha mpaka na wewe utashangaa kaushia tu atazoea
 
Nenda hospital, kwanza ujue tatizo ni nini. Wataalam watakusaidia vizuri.
 
Kwa vile umepanga. Ila mi Mke wangu huwa anasafiri hadi wk 3 na akirudi hunyonyesha. Tatizo ulilofanya hukufanya maandalizi ya kumuachisha. 2
 
Du na wewe uliwahi mno...kama ulikuwa unayakamua mpe tu hakunashida nina experience ya hili
 
Una
Kwa vile umepanga. Ila mi Mke wangu huwa anasafiri hadi wk 3 na akirudi hunyonyesha. Tatizo ulilofanya hukufanya maandalizi ya kumuachisha. 2
Mke alafu unatafuta tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…