Kurudia masomo ya Sayansi o-level: Chemistry na Biology

SHAIDI

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2014
Posts
291
Reaction score
141
wana jf nataka kufanya application kusoma degree kwa njia ya equivalent, nina credit mbili za o leval physics na mathematics lakin nimesikia kwamba kama auna credit tatu huu mpango auwezekani nahitaji kurudia hayo masomo(chemistry na biology) ambayo nina ufahuru wa D, kwa kuwa nimesoma course za afya aitakuwa shida kwangu

nahitaji kujua kama kuna uwezekano wa kurudia hayo masomo hupo na wapi ni sehemu nzuri ya kurudia,
najua haya masomo yana practical vipi utaratibu ukoje na takwimu za ufahuru kwa watu waliopiita

lakini me ni mwajiliwa kwenye taasisi fulani hapa dar es salaam, sijaoa na sina majukum naona huu ndio wakat wangu
natanguliza shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…