Zasasule
JF-Expert Member
- Aug 12, 2009
- 1,001
- 103
Habari zenu wanaJF,
Kuna ndugu yangu, kwa kweli ni mtu mwenye umri tena, 24years. na wala hana cheti cha form 4. alifeli kabisaaaa
sasa ameamua kusoma ili afanye mtihani aweza kupata cheti na kuendelea na elimu
1.JE ATAPATA WAPI MWALIMU WA KUMFUNDISHA HAYO MASOMO, ESPECIALLY YA BIASHARA?
2.UTARATIBU WA KUFANYA MITHANI INAKUWAJE?
3.KWA KWELI YEYE UMRI UMEKWENDA, KWA HIVYO KWA KUINGIA DARASANI KWENDA KULA DARASA KWAKE KIDOGO MTIHANI, ANATAKA ASOME THEN AENDE KUPIGA PAPER TU..
4.GHARAMA ZA WALIMU KUJA KUKUFUNDISHA NYUMBANI INAKUWA VIPI? ANAWEZA PATA WAPI MWALIMU? ASIWE MBABAISHAJI..
Haya ni baadhi ya masuali,, lakini kama kuna mtu anaweza kunijuuza vrui juu ya sula hili kundani nitashkuru zaidi...
Kuna ndugu yangu, kwa kweli ni mtu mwenye umri tena, 24years. na wala hana cheti cha form 4. alifeli kabisaaaa
sasa ameamua kusoma ili afanye mtihani aweza kupata cheti na kuendelea na elimu
1.JE ATAPATA WAPI MWALIMU WA KUMFUNDISHA HAYO MASOMO, ESPECIALLY YA BIASHARA?
2.UTARATIBU WA KUFANYA MITHANI INAKUWAJE?
3.KWA KWELI YEYE UMRI UMEKWENDA, KWA HIVYO KWA KUINGIA DARASANI KWENDA KULA DARASA KWAKE KIDOGO MTIHANI, ANATAKA ASOME THEN AENDE KUPIGA PAPER TU..
4.GHARAMA ZA WALIMU KUJA KUKUFUNDISHA NYUMBANI INAKUWA VIPI? ANAWEZA PATA WAPI MWALIMU? ASIWE MBABAISHAJI..
Haya ni baadhi ya masuali,, lakini kama kuna mtu anaweza kunijuuza vrui juu ya sula hili kundani nitashkuru zaidi...