Kurudiana.......

ni ushamba sana,wanawake walivyo wengi yana unarudia zilipendwa? maaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaajabu
 
Heshima yako Bishanga,najua umuhimu wa kusamehe na hua nasamehe na tunakua friends ila c kuwa wapenz tena!
Hakuna urafiki tupu unaotanguliwa na mapenzi. "Urafiki baada ya Mapenzi" ni mapenzi tu..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…