Kurudiana.......

Kurudiana.......

ni ushamba sana,wanawake walivyo wengi yana unarudia zilipendwa? maaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaajabu
 
Heshima yako Bishanga,najua umuhimu wa kusamehe na hua nasamehe na tunakua friends ila c kuwa wapenz tena!
Hakuna urafiki tupu unaotanguliwa na mapenzi. "Urafiki baada ya Mapenzi" ni mapenzi tu..!
 
Back
Top Bottom