[quote uid=37322 name="Pawaga" post=25089551]Wewe mpuuzi lipa pesa yangu kwanza Acha utapeli.[/QUOTE]<br />Hahahaaaaa.....!!!!<br />wewe kijana unahangaika kweli kweli badala ya kufanya kazi za halali upate pesa unakaa kufanya utapeli wako huo...<br />Nimekwambia mm sitaki hiyo huduma yako ya wizi utaniletea matatizo mm ni mtu mzima nina familia mkuu..<br />Nimekwambia nilikuwa sijakuelewa kama hizo huduma unazo fanya za kuwa unganishia vifurushi vya mb na dakika kuwa unafanya wizi...<br />umesema utanidisconect na hicho kifurushi cha chuo ulicho niunga, nimekwambia sawa, fanya hivyo haraka... ukasema utanichafua nisipo kutumia elfu tisa yako 9,000/=)..<br />Sasa kwann unanilazimisha kushiriki huo uovu unao ufanya kaka..!!<br />haya endelea kunichafua, ila kila utakapo pita niko nyuma yako kufafanua....