Kurugenzi ya Habari Ikulu ifafanueni vizuri 'Vyeti Feki' nao 'Kulipwa' kwani huku Mitaani Mbwembwe na Hofu zimetawala

Kurugenzi ya Habari Ikulu ifafanueni vizuri 'Vyeti Feki' nao 'Kulipwa' kwani huku Mitaani Mbwembwe na Hofu zimetawala

Waliotumia vyeti vyeki kusomea fani flaniflani, wakafaulu, wakaajiriwa na kulitumikia Taifa kwa miaka mingi kwa ustadi mkubwa wanapaswa kulipwa at least michango yao iliyokatwa kupelekwa kwenye mifuko.

Serikali inaweza kuamua kubaki na % iliyochangia
Kwahiyo nawe unautetea Utapeli Wao?
 
Waliotumia vyeti vyeki kusomea fani flaniflani, wakafaulu, wakaajiriwa na kulitumikia Taifa kwa miaka mingi kwa ustadi mkubwa wanapaswa kulipwa at least michango yao iliyokatwa kupelekwa kwenye mifuko.

Serikali inaweza kuamua kubaki na % iliyochangia
Serikali huwa haichangii hata 100
 
Baada ya hapo waende jela kwa kughushi vyeti, kisha watapishwe mipunga yoote waaliyokula huko nyuma pamoja na hayo mafao yao, wamepata kwa njia haramu(danganyifu)
Napenda mno Watu ( Members ) wenye Akili hivi ( kama Wewe ) hapa JamiiForums

Nakubaliana na ulichokipendekeza hapa tena naongezea ikibidi Wachapwe na Viboko vingi tu.
 
Kwahiyo nawe unautetea Utapeli Wao?
Mtu alitumia jina/cheti cha mwingine cha standard 7/form four ili akasome na kuwa nurse au mwalimu. Huyu mtu amechapa kazi nzuri na yenye kutukuka kwa miaka 30 then suddenly tunasema hey, wewe huna cheti cha form four. Hapana, nawatetea hawa.

By the way, ni kazi ya nani kuhakiki vyeti? Kwanini tuheshimu vyeti zaidi (tena sio vya taaluma) badala ya quality ya service anayoitoa mtu? Ninawatetea.

Kwanini tuwaonee walimu na nurses tu ila TISS, JW, police, magereza, uhamiaji, RCs, DCs tuwaache? Double-standards!

Wapewe chao.
 
Siwezi kuteseka, utateseka wewe unaeanzisha threads kila baada ya dakika 2 humu.
Uongozi wa JamiiForums umekuzuia Wewe pia Kuanzisha Uzi?

Una Roho ya Kimasikini sana ( Mbaya ) iliyojaa Wivu, Kisununu na Chuki za Kiuswahili.

Hapo tu Wewe siyo Mwanzilishi wa Mtandao huu wa JamiiForums una Husuda hivi je, ungekuwa ni Mwanzilishi si ingekuwa balaa hapa?

Kuhusu Mimi kuanzisha 'Threads' nikutaarifu tu kuwa leo hii nimepanga Kuanzisha kama Tatu hivi kubwa ya Siasa, Habari na Michezo.

Na ili uone kuwa GENTAMYCINE licha tu ya kuwa ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kiasili pia nina 'Charm' ya ajabu ambapo nikianzisha tu Uzi wowote Wadau ( Members ) wataukimbilia 'Kuukodolea' hadi 'Kuuchangia' kama ambavyo hata 'Mnafiki' Wewe umefanya japo unanichukia.

This is GENTAMYCINE ( ANTIBIOTIQUE )
 
Uongozi wa JamiiForums umekuzuia Wewe pia Kuanzisha Uzi?

Una Roho ya Kimasikini sana ( Mbaya ) iliyojaa Wivu, Kisununu na Chuki za Kiuswahili.

Hapo tu Wewe siyo Mwanzilishi wa Mtandao huu wa JamiiForums una Husuda hivi je, ungekuwa ni Mwanzilishi si ingekuwa balaa hapa?

Kuhusu Mimi kuanzisha 'Threads' nikutaarifu tu kuwa leo hii nimepanga Kuanzisha kama Tatu hivi kubwa ya Siasa, Habari na Michezo.

Na ili uone kuwa GENTAMYCINE licha tu ya kuwa ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kiasili pia nina 'Charm' ya ajabu ambapo nikianzisha tu Uzi wowote Wadau ( Members ) wataukimbilia 'Kuukodolea' hadi 'Kuuchangia' kama ambavyo hata 'Mnafiki' Wewe umefanya japo unanichukia.

This is GENTAMYCINE ( ANTIBIOTIQUE )
Lakini mimi nina afadhali kwasababu nawatetea watu walipwe haki zao. Ila mijitu SADISTS kama nyie mnaopenda kuona watu wanafanyiwa ROHO MBAYA, ZA KIKATILI na DHULMA hampendi.

Sadists mlifanikiwa kuwa na mtu wenu Ikulu miaka 5, amewaumiza wengi sana ili nyinyi mfurahi. Inatosha.

Roho za kutu
 
Namtetea basha wako aliyeko humuhumu anayekufanya unafungua ID mpya kila dakika.
Naona hatimaye leo umeamua kututolea Siri yako ya muda mrefu kuwa 'Unabashiwa' kila dakika.
 
Lakini mimi nina afadhali kwasababu nawatetea watu walipwe haki zao. Ila mijitu SADISTS kama nyie mnaopenda kuona watu wanafanyiwa ROHO MBAYA, ZA KIKATILI na DHULMA hampendi.

Sadists mlifanikiwa kuwa na mtu wenu Ikulu miaka 5, amewaumiza wengi sana ili nyinyi mfurahi. Inatosha.

Roho za kutu
Vipi Basha wako nae ni Mhanga wa hili?
 
Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan akilipitisha hili na kuruhusu Walipwe ndiyo utakuwa mwanzo wangu wa Kumdharau.

Yaani Crooks walipwe? Are we Serious?
Je unamuelezeaje Surgeon aliyekuwa anaitwa Hamis Mahimbo akiwa Form IV na hakuchagukiwa kwenda Form VI kwa vile hazikutosha.

Ila akatumia cheti cha Francis Kimambi kwa scholarship ya Cuba kusomea Degree ya udaktari hadi kuwa surgeon. Ametibu na kupasua wagonjwa kwa miaka zaidi ya 25. Akiwa kabakiza miaka 3 kustaafu naye kaorodheshwa kwenye vyeti FAKE kwa sababu ya cheti cha Form IV, licha ya kwamba yeye Hamis Mahimbo ndiye aliyekaa miaka zaidi ya 9 akisomea udaktari kama Francis Kunambi

Lakini aliowatibu na kuwafanyia upasuaji wapo wanaishi
 
Nisalimie sana hapo ulipo Ofisini Kwako ( Kwenu ) jjrani ( mkabala ) kabisa na Lugalo Golf Court sawa?
Huna unalolojua. Kesho kaongoze maandamano kuelejea FCC Mo anataka kuporwa team
 
Kuna Watu nilikuwa nikiwaheshimu sana hapa JamiiForums hasa kwa Michango yenu ila taratibu sasa kwa kuja na Hoja zenu zenye Huruma za Kinafiki kwa 'Wahalifu' niseme tu kuwa nitaanza Kuwadharau na kuwaona ni 'Hopeless' wakubwa tu.
Mkuu Genta. Salamu kwako. Niseme tu kwamba vyeti feki nikosa la kisheria. Ila, kwa namna lilivyokuwa implemented kibaguzi nasema hapana. Tena hapana narudia. Wakati wafanyakazi wengine wanasulubiwa eti uzio ulijengwa ili makonda na wanasiasa wengine, polisi na jeshini ambako ndo kuna mavyeti feki mengi eti wasiguswe. Hapo ndipo radha ya hilo zoezi ilipo haribikia
 
Back
Top Bottom