Kuruhusu Ubinafsishaji na uchimbaji ndani ya mbuga zetu ni sawa na kuziuza?

Kuruhusu Ubinafsishaji na uchimbaji ndani ya mbuga zetu ni sawa na kuziuza?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!!

Tumeambiwa kuwa, tembo na simba hawali madini, lakini hatukuambiwa wakati madini yakichimbwa ndani ya Serengeti, hao Simba watakuwa wapi!!?

Kutoa lesseni ya uchimbaji ndani ya Serengeti ya miaka 100 Kwa mwekezaji, ni sawa na kumuuzia mbuga zetu Kwa maana uchimbaji lazima utaondoa wanyama wetu wa asili mbugani Ili kuruhusu uchimbaji.

Haya matusi tunayotukanwa na viongozi wetu, yafike mwisho sasa, tuhakikishe kiongozi huyu hagombei 2025.

Nawaita walinzi wa Nchi wa kiroho na kimwili kuchukua nafasi zenu.

NB: Kuruhusu uchimbaji madini mbugani ni sawa na kufuta RANGI ya kijani katika bendera ya Taifa.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni.

Pia soma
 
Salaam, Shalom!!

Tumeambiwa kuwa, tembo na simba hawali madini, lakini hatukuambiwa wakati madini yakichimbwa ndani ya Serengeti, hao Simba watakuwa wapi!!?

Kutoa lesseni ya uchimbaji ndani ya Serengeti ya miaka 100 Kwa mwekezaji, ni sawa na kumuuzia mbuga zetu Kwa maana uchimbaji lazima utaondoa wanyama wetu wa asili mbugani Ili kuruhusu uchimbaji.

Haya matusi tunayotukanwa na viongozi wetu, yafike mwisho sasa, tuhakikishe kiongozi huyu hagombei 2025.

Nawaita walinzi wa Nchi wa kiroho na kimwili kuchukua nafasi zenu.

NB: Kuruhusu uchimbaji madini mbugani ni sawa na kufuta RANGI ya kijani katika bendera ya Taifa.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni.
Miaka 100?
Hayo yamejiri lini?
 
WE ARE GENERATION BONGO LALAAAAAZ OF TANZANIA ........FOR REAL....................MITAAAANI KUNA AKILI PANZI ZINAVAA FLANA ZA KIJANI YANAYOONYESHA ETI RAFIKI WA MAMA...........MHHHHHHHHHHHHHHH



AMA KWELII WE ARE BONGO LALAAAAAAAAAAAAAAAA OF TZ
 
Back
Top Bottom