- Thread starter
- #41
Witchcraft is real here,WAcha madini yachimbwe, Wanayama hawali madini.
Bt hamtaweza!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Witchcraft is real here,WAcha madini yachimbwe, Wanayama hawali madini.
Salaam, Shalom!!
Tumeambiwa kuwa, tembo na simba hawali madini, lakini hatukuambiwa wakati madini yakichimbwa ndani ya Serengeti, hao Simba watakuwa wapi!!?
Kutoa lesseni ya uchimbaji ndani ya Serengeti ya miaka 100 Kwa mwekezaji, ni sawa na kumuuzia mbuga zetu Kwa maana uchimbaji lazima utaondoa wanyama wetu wa asili mbugani Ili kuruhusu uchimbaji.
Haya matusi tunayotukanwa na viongozi wetu, yafike mwisho sasa, tuhakikishe kiongozi huyu hagombei 2025.
Nawaita walinzi wa Nchi wa kiroho na kimwili kuchukua nafasi zenu.
NB: Kuruhusu uchimbaji madini mbugani ni sawa na kufuta RANGI ya kijani katika bendera ya Taifa.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni.
Pia soma
Kiongozi huyu ni kama anajaribu kuchochea chuki Ili Muungano uvunjike.Wamewatoa wananchi kwenye huo mjadala kwa kuwaletea Mjadala wa mabadiliko ya Mawaziri .
Ili kufanya kama binga Maboya ?!
Rais kajaa mipasho .hotuba zake utazani ni mswahili ana chambaSamia amesema sasa atalazimisha madini kuchimbwa kwenye mbuga zetu Serengeti ikiwemo akidai Simba na tembo hawali madini[emoji848]
Utetezi wa kupuuzi kabisa huu kutoka namba moja, inaonesha namna uelewa wake ulivyo finyu....hapo kaona katoa boonge la point ambalo marais watangulizi woote hawakuweza kuling'amua isipokuwa yeye tuu🤣🤣🤣Wanyama hawali madini
Angedhibitiwa kusafiri nje, haya yote anayatoa huko.Kuchimba madini mbugani kutaleta njaa kwa raia wengi waliojiajiri kwenye utalii na watamlaani sana Bimkubwa now and forever, namsihi hili aliache kwakweli ni jambo baya sana linalogusa pia urithi wa nchi.
Kama ni pesa zinatafutwa basi afadhali waongeze tozo tu kwenye miamala tushazoea kulipa kwa vile tumekataa kuhamia Burundi. Ni jambo baya sana kuharibu urithi wa Tanganyika.
Hivi uchimbaji ukianza wanyama watahamishiwa wapi? Burundi?Na wao wana haki ya kuishi ni viumbe wa Allah SW
Kila jambo na wakati wake,ni wakati wa kuchimbwa umefika.Utetezi wa kupuuzi kabisa huu kutoka namba moja, inaonesha namna uelewa wake ulivyo finyu....hapo kaona katoa boonge la point ambalo marais watangulizi woote hawakuweza kuling'amua isipokuwa yeye tuu🤣🤣🤣
Alivyoenda Dubai, alivyokuwa anawahamisha wamasai haukushtuka tu? [emoji848]Huo mkataba uneingiwa lini? Mbona mambo yanaenda mbio kiasi hiki? Ni kawaida? Mbona kama kunataka kuibua maswali mengi?
Unamaanisha hata Majeshi yetu waliopewa kulinda Raslimali hizi pia ni waoga?
Mbona hawaogopi majangili!!
Miaka 100?
Hayo yamejiri lini?
Tusikubali kutolewa kwenye mjadala huu nyeti Kwa Taifa letu
Huo mkataba umeingiwa lini? Mbona mambo yanaenda mbio kiasi hiki? Ni kawaida? Mbona kama kunataka kuibua maswali mengi?
Walishamalizana.Hili jambo ni la kulikemea halipaswi kuachwa kuendelea .
Rais kajaa mipasho .hotuba zake utazani ni mswahili ana chamba