Charles Dionise Sanguapo
New Member
- May 4, 2018
- 1
- 0
Serikali pamoja na taasisi zake zote inapaswa kuwa mstari wa mbele kwenye matumizi ya wataalam inayozalisha na ijikite kwenye kuwazalisha na kuwatumia.
Sekta nyingi za kiserikali zimekuqa na shughuli mbovu na zisizozalisha kwa sababu ya kutoruhusu wataaluma kwenye sekta zao maeneo mengi yamekosa wataalamu kupelekea underperformance na kuwa na shughuli mbovu kabisa.
Sekta nyingi za kiserikali zimekuqa na shughuli mbovu na zisizozalisha kwa sababu ya kutoruhusu wataaluma kwenye sekta zao maeneo mengi yamekosa wataalamu kupelekea underperformance na kuwa na shughuli mbovu kabisa.
Upvote
1