Kuruka hatua (stage) kwenye makuzi

Kuruka hatua (stage) kwenye makuzi

Hobby hubaki kuwa hobby na hili halina umri kwahiyo hapo tutofautishe na kuruka stage.. Kuruka stage ni jambo ambalo hutokea kwa muda fulani na kisha kupotea
Wengi wanachanganya hobby na kuruka stage. Ndio maana kijana akisema siendi club wenzie wanamuona anaruka stage kumbe hayo mambo si hobby yake.
 
Watu huwa wananiambia kuwa nimeruka stage cz wakat nasoma nilikua sina muda wa kwenda club na kufanya mambo ambayo wadada wengine wanafanya.

Lakin niliwaambia hakuna kuruka stage na wala hakitanirudia hata mara moja labda Mungu wangu aliye hai awe amekufa kwa muda huo

Nipo nadundika tu na nipo young kuliko wao ingawa umri umeenda

Ukiwaona wao sasa kama wazeee; et walikua ktk stage; sio kila kitu wanachopitia inabid upitie cz vingine ni hatari

Marafiki wanaweza kukufanya ukapitia vitu sivyo kabisa et usiruke stage kwenye ndoa utakua utarudia maliza vyote.

Inategemea na stage ipi.

Mm sitegemei kurudia stage mbovu nasonga mbele tu
Nakuunga mkono , wakati nasoma o ,level na advance hata chuo marafiki zangu walikuwa na mademu kinoma wanaenda hapa na pale wanafanya hiki na kile na mimi nilionekana kama domo zege na boya ambaye nimelalala ila kwa sasa nimemalizaga shule na nafikiri ndo muda mzuri wa kutafuta mrembo aliyetulia tule ujana twende hapa na pale tufanye hiki na kile
 
IMG-20171212-WA0037.jpg
 
Hivi kumbe ukiruka stage inakuja jirudia uzeeni naogopa sana maana katika maisha yangu sikuwahi kuzeja kombolela utotoni na mpaka sasa maswala ya kuwa katika mahusiano na wasichana au kutogoza inakuwa insu ngumu kwangu hii inatokana na maisha magumu ya kusaka tonge. Basi mungu anisaidie isije kutokea maana nahisi stage ikijirudia nitapotea kabisa
 
Mleta Uzi ametuacha hewani anaongelea tu kuruka stage lkn stage zenyewe hazitaji hii inatoa fursa watu kutamka au kuona watu furani waliruka stage kumbe sio

Stage katika kukua ziko nyingi lkn kuna matukio makubwa ambayo huwa tunachukua kama point
UTOTO
Kuzaliwa
Kukaa
Kutambaa
Kutembea
Kuongea

UJANA
.
.
.
.
UZEE
.
.
..
.
NB kuna watu wanamagonjwa ya akili hivyo wakati mwingine mnawasema wameruka stage don't believe

Teh
 
Huyo MSHUA wa Dogo hajatulia.

Hapo hawezi kunyonga hata PEDELI.

Anachofanya, BAISKELI ikipungua mwendo anashusha Miguu yake na kuanza kujisogeza kwa Miguu.

Mwendo ukikolea ananing'iniza tena Miguu
 
Huyo MSHUA wa Dogo hajatulia.

Hapo hawezi kunyonga hata PEDELI.

Anachofanya, BAISKELI ikipungua mwendo anashusha Miguu yake na kuanza kujisogeza kwa Miguu.

Mwendo ukikolea ananing'iniza tena Miguu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hivi kumbe ukiruka stage inakuja jirudia uzeeni naogopa sana maana katika maisha yangu sikuwahi kuzeja kombolela utotoni na mpaka sasa maswala ya kuwa katika mahusiano na wasichana au kutogoza inakuwa insu ngumu kwangu hii inatokana na maisha magumu ya kusaka tonge. Basi mungu anisaidie isije kutokea maana nahisi stage ikijirudia nitapotea kabisa
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Hii ishu ya kuruka stegi huwaga na pingana nayo hasa upande wa umalaya,mwengine anaamini kabisa kama ujanani hujawagonga sana wanawake uzeeni utawagonga sababu umeruka stage ujanani ni uongo.Nakumbuka nilikaa na mzee mmoja hapa mtaani alikuwa ananipa stori za wazee wa mtaani ,nilichogundua kama ulikuwa malaya basi kadri unavyokuwa ndio unakuwa malaya sana hata ukioa (watu wengi walio oa wanafanya kwa siri sana na siku ukigundua utashangaa) na hata ukizeeka utaendelea tu ,sababu tabia ya umalaya ipo kwenye damu.Kama uliweza kujicontrol ujanani nazani uzeeni itakuwa kazi rahisi,lkn kama ulishindwa kujicontrol ujanani ni ngumu kuacha umalaya.Hiyo ishu ya kuruka stegi labda uapply maeneo mengine,lkn hili eneo ni uhakika 100% nipo sawa
 
Kuna watu hawapendi kujipa shida wala kujiwazisha kwenye mambo yatakayowapa msongo wa mawazo...

Ndiyo maana wanakua open na mambo yao kiasi kwamba watu wanawaona wanafanya mambo ya kitoto...

Lakini siyo kweli... Ukweli ni kwamba huyo mtu kaamua kua huru na mambo yake...

Cc: mahondaw
 
Kuna watu hawapendi kujipa shida wala kujiwazisha kwenye mambo yatakayowapa msongo wa mawazo...

Ndiyo maana wanakua open na mambo yao kiasi kwamba watu wanawaona wanafanya mambo ya kitoto...

Lakini siyo kweli... Ukweli ni kwamba huyo mtu kaamua kua huru na mambo yake...

Cc: mahondaw
CC : Chamdeko my lovely soul
 
Back
Top Bottom