Kuruka kwa ungo ni kweli au hadithi za mtaani?

Kuruka kwa ungo ni kweli au hadithi za mtaani?

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Wakuu natumaini hamjambo. Naomba mwenye kujua hili suala la watu wanaoruka kwa ungo ni la kweli au ni hadithi za kufikirika tu? Kuna mtu alishawahi kushudia hili na kuchukua ushahidi wa video hapa kwetu Tanzania. Ni jambo linanitatiza ninaposikia hizi hadithi.

How do they defy gravity with just a simple thing kama ungo au ufagio? Na kama jambo hili ni la kweli why then hatutuumii ujuzi huu labda hata kwenda anga za juu badala yake mataifa makubwa yanaingia gharama kubwa kutengeneza spacecrafts? Kwa yeyote mwenye kujua hili suala nitashukuru kwa mchango wake.
 
Kupaa kwa ungo Ni kweli swala lipo!
Nimeona video ambayo jamaa alikua anatoa show,
Alifanyiwa interview na tv Rwanda.
Na akapaa kidogo kuonesha uwezo!
Uchawi upo, uchawi ni nguvu kama nguvu za miungu mingine!
Hata bible ninayotumia inataja uwepo wa uchawi
 
Kuna mwaka mtu alianguka barabarani na ungo karibu na uwanja wa ndege. Itakuwa hukuona vyombo vya habari. Vilikuwa na picha tele.
 
Sijawah amini hii kitu... maana kila wanaosadikiwa kuanguka hakuna anaethibitisha km walikuja na ungo wakadindoka... ila unakuta tu wako chini na vifaa vyao....
 
Sijawah amini hii kitu... maana kila wanaosadikiwa kuanguka hakuna anaethibitisha km walikuja na ungo wakadindoka... ila unakuta tu wako chini na vifaa vyao....
Huwezi kuwaona kwa macho yako ya kawaida wakiwa kwenye anga zao.
Pale walipodondoka unawaona kwa macho ya kawaida sababu nguvu zao zimevuliwa au kuzidiwa.
 
Kupaa kwa ungo Ni kweli swala lipo!
Nimeona video ambayo jamaa alikua anatoa show,
Alifanyiwa interview na tv Rwanda.
Na akapaa kidogo kuonesha uwezo!
Uchawi upo, uchawi ni nguvu kama nguvu za miungu mingine!
Hata bible ninayotumia inataja uwepo wa uchawi
Mkuu video pliz
 
Sijawah amini hii kitu... maana kila wanaosadikiwa kuanguka hakuna anaethibitisha km walikuja na ungo wakadindoka... ila unakuta tu wako chini na vifaa vyao....
Kuna vitu inabidi uamini tu sio kila kitu lazima uone kwa macho hata maskio wakati mwengine yaaminishe kile unachosikia kutoka kwa watu wengine.

Utakuja kulamba sumu kisa haaumini wengine yakuwa inaua uchawi upo mkuu na mambo yakupaa na ungo yapo kama haumini ingia kwenye chama uyashuhudie
 
Swaziland wako kibao na huruka Hadi serikali imeweka sheria ya mtu kuruka na ungo kuwa asiruke zaidi ya mita kadhaa toka aridhini wachawi Swaziland wanasimamiwa na mamlaka ya anga ya Swaziland
Duh
 
Only witch can fly... Tafuta hicho kitabu ,wazungu hapo zamani walikuwa wanaruka na fagio.
 
Ni kweli kabisa Mkuu huwa uoni mara kwenye mitandao Wameanguka na ungo unafail break
 
Wakuu natumaini hamjambo. Naomba mwenye kujua hili suala la watu wanaoruka kwa ungo ni la kweli au ni hadithi za kufikirika tu? Kuna mtu alishawahi kushudia hili na kuchukua ushahidi wa video hapa kwetu Tanzania. Ni jambo linanitatiza ninaposikia hizi hadithi.

How do they defy gravity with just a simple thing kama ungo au ufagio? Na kama jambo hili ni la kweli why then hatutuumii ujuzi huu labda hata kwenda anga za juu badala yake mataifa makubwa yanaingia gharama kubwa kutengeneza spacecrafts? Kwa yeyote mwenye kujua hili suala nitashukuru kwa mchango wake.
Hayo mambo yapo kweli na anga hasa wakati wa usiku linakuwa na trafic kubwa sana ya watu wanaosafiri. Ila hata mchana pia watu husafiri kwa ungo. Ukitaka nawe kufanya unaweza ila kuna gharama zake na sio nzuri hata kidogo.
 
IMG-20200627-WA0000.jpg

Mpaka uwe na jicho la 3 ndipo utaweza kushuhudia haya mambo live bila chenga kwa macho mawili ni kama bongo movie tu
 
Ila wewe Jamaa wewe!
Nipo seminar hapa nimecheka kifala!
Vp TRA Yao inakusanya Mapato?
Swaziland wako kibao na huruka Hadi serikali imeweka sheria ya mtu kuruka na ungo kuwa asiruke zaidi ya mita kadhaa toka aridhini wachawi Swaziland wanasimamiwa na mamlaka ya anga ya Swaziland
 
Back
Top Bottom