Kuruka kwa ungo ni kweli au hadithi za mtaani?

Kuruka kwa ungo ni kweli au hadithi za mtaani?

Kupaa kwa ungo Ni kweli swala lipo!
Nimeona video ambayo jamaa alikua anatoa show,
Alifanyiwa interview na tv Rwanda.
Na akapaa kidogo kuonesha uwezo!
Uchawi upo, uchawi ni nguvu kama nguvu za miungu mingine!
Hata bible ninayotumia inataja uwepo wa uchawi
Asante.Hakuna video kutoka Tanzania au mtu yeyote wa kwetu aliyejitokeza waziwazi kuonyesha show?
 
Kuna mwaka mtu alianguka barabarani na ungo karibu na uwanja wa ndege. Itakuwa hukuona vyombo vya habari. Vilikuwa na picha tele.
Hizi habari huwa nazisikia kila mara ila sijawahi kushuhudia. Kwa nini watu hawa tusiwahoji how they can defy the force of gravity tukatumia ujuzi huo kufanya makubwa badala ya kuuita ni uchawi? Siku hizi nafuatilia sana maendeleo katika quantum physics na naona kama kuna vitu tunavidharau lakini vina maana. Kama huelewi kitu kimefanyikaje naona si busara kuita kila kitu uchawi siply because it has been done by a none university graduate!
 
Sijawah amini hii kitu... maana kila wanaosadikiwa kuanguka hakuna anaethibitisha km walikuja na ungo wakadindoka... ila unakuta tu wako chini na vifaa vyao....
Hilo nalo na mimi linanitia mashaka kodogo
 
Huwezi kuwaona kwa macho yako ya kawaida wakiwa kwenye anga zao.
Pale walipodondoka unawaona kwa macho ya kawaida sababu nguvu zao zimevuliwa au kuzidiwa.
Kwa nini basi watu hawa wasitumiwe kufanya mambo ya maana? Go to Mars and bring us some mineral samples for example! If they can defy gravity by whatever means where is the power of our mainstream science? Mambo haya huwa yananipa mawzo mengi sana. Tunapoteza miaka na miaka kwenye vyou vikuu kutafiti gravity, sijui dark matter sijui particle collider na hatuna majibu ya kutosha lakini mtu mmoja a.k.a mchawi sijui yuko kijiji gani pale anweza kushinda kanuni za Fizikia tunazozijua. Something must be wrong with us kama kweli watu hawa wapo na wanafanya mambo haya.
 
Kuna vitu inabidi uamini tu sio kila kitu lazima uone kwa macho hata maskio wakati mwengine yaaminishe kile unachosikia kutoka kwa watu wengine.

Utakuja kulamba sumu kisa haaumini wengine yakuwa inaua uchawi upo mkuu na mambo yakupaa na ungo yapo kama haumini ingia kwenye chama uyashuhudie
Chama gani mkuu. Hebu weka mambo hadharani.
 
Swaziland wako kibao na huruka Hadi serikali imeweka sheria ya mtu kuruka na ungo kuwa asiruke zaidi ya mita kadhaa toka aridhini wachawi Swaziland wanasimamiwa na mamlaka ya anga ya Swaziland
Hili nimewahi kulisikia. Labda niwasiliane na cilivil aviation authority ya Swaziland sijui kama wanaweza kunipa ushahidi usio na mashaka. Na kama ni kweli serikali yao inayatumiaje maarifa haya?
 
Only witch can fly... Tafuta hicho kitabu ,wazungu hapo zamani walikuwa wanaruka na fagio.
Ni hadithi ya kweli au ni fiction? Naona kitabu kipo Amazon. Nimekuwa nikiongea na wajerumani nilipokuwa kwenye misafara ya kuongoza watalii na hili la kurka na ufagio walikuwa wakiliongelea japo kama hadithi za kufikirika.
 
Ni kweli ila shida ni vifaa vinavyotumika!! Wataulizwa wamepata wapi?
 
Huwezi kuwaona kwa macho yako ya kawaida wakiwa kwenye anga zao.
Pale walipodondoka unawaona kwa macho ya kawaida sababu nguvu zao zimevuliwa au kuzidiwa.
nguvu zao zimevuliwa au kuzidiwa na nani?
 
Katafute kale katoto kanaendaga na bibi yake kwa mama samweli [emoji16][emoji16],katakuelezea ishu za ungo vizuri wanapaaje wanatumia mafuta gani kuchochea ungo ukimbie kwa speed
Nipe contacts zake. Kako wapi?😊
 
Siwezi kutaja nitaonekana mshirikina aliyekubuhu. Kwa taarifa yako ajali ikitokea kuna wasioonekana wanachukua baadhi ya viungo kwa safari za angani.
 
Giningi ndo wapi mkuu. Au ndio jina la chama?
Makao makuu ya wachawi pwani Giningi City Misukule na mambo ya uchawi yako huko Fanya uende mkuu ukweli na utata wa nafsi yakutaka kuamini unayoyaskia utayaona huko kwa macho.
 
Back
Top Bottom