Kurusha mabomu na kulenga tajeti

Kurusha mabomu na kulenga tajeti

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Wakati nasoma Saiyansi nilikutana na topic moja inahusiana na Projectile motion ambayo inafundisha mahesabu ya kurusha kitu ili kiangukie mahali ulipokusudia

Nitopic ngumu ambayo huwezi kufundisha mtu ambaye hajasoma masomo hayo akaelewa kwa urahisi

Naamini tunafanya hivyo ila kama bado; tunaweza kuwasomesha vijana wetu wachache wenye background nzuri ya masomo hayo; ni rahisi kuwa na jeshi dogo kabisa ila imara kama SIMBA na kuepusha kurusha mabomu zaidi ya 20 bila kuhit target ambapo moja tu lingetosha.

Hatuna Vita hivyo tuna nafasi ya kuboresha kwani tuna vijana wengi waliosoma combination zenye Physics hasa PCM na kufaulu wapo wamejaa mtaani

Ni mawazo tu kwani sina uzoefu na Jeshi hata hivyo mtu akifuatilia Clip za vita mbalimbali duniani ataona kabisa huo upande bado kuna baadhi ya wataalam wa hiyo fani wangestahili kupikwa zaidi au pengine wamelazimisha kuingia mahala pasipokuwa kwao.
 
Yaani kabisa unasema topic ya Projectile Motion ilikuwa ngumu!

Sasa advance uliiweza topic gani?
Nimesema ni ngumu tena sana with reference kwa watu waliosoma arts
Hata hiyo unahitaji tafsiri? Shame!
By the way; Current electricity, Gravitation, Rotation of Rigid Bodies na Electromagnetism - were my favorable topics)
 
Physics ilikuwa tata sana, sana. Huwezi amini shuleni kwetu hadi yule aliyepewa cheti cha physics alishtuka? Yaani hakuamini kuwa vile inampelekesha vile anapata vi D na vi E..... yeye ndo aliyeiwezea at least kuliko wote!!! tena sio shuleni hapo tu. Kishulenishuleni alikuwa wa kwanza - lakini alikuwa wa pili mkoa mz.... no sio mkoa; alikuwa wa pili kanda nzima!!
 
Siku hizi wanarusha kwa software. Kwenye field lazima uangalie kasi ya upepo, uelekeo, joto, pressure na vikorokoro vingi sana.
 
Back
Top Bottom