Mmesoma shule za watoto wa mama ambazo zina ukuta....Tulizosoma wengine ni boarding ambazo hazikuwa ni hizo habari...wako wapi watu wa Mara Sekondarii!!
hahah,ndege
yangu ilikua inaitwa Air Makerubi
hahah, kweli mkuu. Tuombee nasisi tuhangaike wee ila mwisho wa siku nasi tuokolewe nabwanaMimi yangu wala haikuwa jina..Yan any time ipo free kwa any
mission..Thank Jesus,I'M BORN AGAIN coz without Him ningekuwa Kaka
Jambazi..