JangwaniWadau wa usafirishaji,nina rafiki yangu anataka kusafirisha gari dogo toka Dar kupeleka Arusha kwa magari ya mizigo.Naombeni mwongozo
ni wapi usafiri huo kwa Dar unapatikana?
.Ni salama kwa gari dogo
.litafika limebonyezwa na mizigo mingine.
.gharama inaweza fika kiasi gani?
Natanguliza shukrani
Kama nzima si akanyage mwenyewe au atafute dereva waende?Wadau wa usafirishaji,nina rafiki yangu anataka kusafirisha gari dogo toka Dar kupeleka Arusha kwa magari ya mizigo.Naombeni mwongozo
ni wapi usafiri huo kwa Dar unapatikana?
.Ni salama kwa gari dogo
.litafika limebonyezwa na mizigo mingine.
.gharama inaweza fika kiasi gani?
Natanguliza shukrani
Hapo sawa kwanini asilete Engine Dar kwajili ya kufanga kisha test iwe gari kwenda Arusha kwa kuendesha. Ni rahisi Engine kuja Dar kuliko Body kwenda chuga. Yangu mimi ni hayo tu.Engine imekaanga,anaenda kubadili Arusha
No commentsHapo sawa kwanini asilete Engine Dar kwajili ya kufanga kisha test iwe gari kwenda Arusha kwa kuendesha. Ni rahisi Engine kuja Dar kuliko Body kwenda chuga. Yangu mimi ni hayo tu.
Asante
Mjadala umefungwaHapo sawa kwanini asilete Engine Dar kwajili ya kufanga kisha test iwe gari kwenda Arusha kwa kuendesha. Ni rahisi Engine kuja Dar kuliko Body kwenda chuga. Yangu mimi ni hayo tu.
Asante
Sure. Sasa turudi kwenye SUBARUMjadala umefungwa
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Sure. Sasa turudi kwenye SUBARU