Kusafirisha maua kwa ndege hadi ulaya kunaletaje faida?

Kusafirisha maua kwa ndege hadi ulaya kunaletaje faida?

Wakenya wana Exposure ya kutisga wale Jamaa ni nusu wazungu na nusu Waafrica, Wale sio levo zetu, Kama kipindi cha sikukuu kama Christmas na Pasaka walikuwa wana furika Arusha vibaya mno na wanaenda hadi Serengeti na Ngorongoro na wana lala, sisi tunangojea zile fungulia Mbwa.

Wana Exposure sana mimi huwa kuna vitu vingi najifinza kutoka kwao
Halafu ukisikia Kenya Kenya, wanasafirishaaua mara wanapeleka sijui nini Ulaya.

Sometimes usi-conclude kwamba ni Walenya weusi.

Unaweza kukuta ni mashamba makubwa ya wawekezaji wazungu ndio wanalima na kusafirisha Ulaya.

Usiwe na akili kama punda kihongwe.
 
Halafu ukisikia Kenya Kenya, wanasafirishaaua mara wanapeleka sijui nini Ulaya.

Sometimes usi-conclude kwamba ni Walenya weusi.

Unaweza kukuta ni mashamba makubwa ya wawekezaji wazungu ndio wanalima na kusafirisha Ulaya.

Usiwe na akili kama punda kihongwe.
mzee siyo swala hilo tu ..Kenya wametuzidi vitu vingi sanaa ...

haina haja ya kukaza vichwa

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
mzee siyo swala hilo tu ..Kenya wametuzidi vitu vingi sanaa ...

haina haja ya kukaza vichwa

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Kenya wanatuzidi nini ??

Ni kweli Kenya wanatuzidi maana hata ardhi wanasiasa wamegawana yote huku wengine wanaishi kwa vipande kwa Land lords.

Mbona kwenu mnazidiwa na kwa jirani. Baba yako alikuwa wapi ??

Siku zote kwenye maisha kutakuwa na mtu unamzidi na anayekuzidi.
 
Back
Top Bottom