Wakenya wana Exposure ya kutisga wale Jamaa ni nusu wazungu na nusu Waafrica, Wale sio levo zetu, Kama kipindi cha sikukuu kama Christmas na Pasaka walikuwa wana furika Arusha vibaya mno na wanaenda hadi Serengeti na Ngorongoro na wana lala, sisi tunangojea zile fungulia Mbwa.
Wana Exposure sana mimi huwa kuna vitu vingi najifinza kutoka kwao