Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutumia TAZARA mbona unajipa tu gharama coz kutoka kapunga or ubaruku mpaka station ya tazara ulipe alaf ukalipie tena train ni afadhali utumie tu lori mbona meng sana.Tumia TAZARA... Reli Ni nafuu kidogo ila ikifika dar uandae usafiri pia wa kutoka tzr mpka dukani
Mbombo ilipo, Pa matema.Pa Ipinda ama kugu mkuu? 😀
Hujui ila umejitahidi 😀Mbombo ilipo, Pa matema
😂 ndaga fijo nkamuHujui ila umejitahidi 😀
2350-2400Kilo kwa sasa hivi inanusa ngapi maana!
Dah nilipata mshituko wa moyo ghafla hadi nimekumbuka kucheki tarehe ndio nikajua kumbe ni comment ya muda mrefu sana.Simple tu mbona magari yapo mengi tu, ni zile transit huwa zinarud Dar empty sometimes na sizan kama inazidi elfu kumi kusafirisha kilo mia za kipeto kimoja.
Hakuna sehem yenye mchele haina magari, muda sahh wa kuanza biashara ni sasa kwani mchele ni bei chee sana kwa sasa nadhani bei ya juu ni 1200.
Inflation is real[emoji28]Dah nilipata mshituko wa moyo ghafla hadi nimekumbuka kucheki tarehe ndio nikajua kumbe ni comment ya muda mrefu sana.
Wakati huo bei ya rejereja ni 2500, kwahiyo faida kwenye kila 1Kg ni Tsh100?2350-2400
Naomba connectionKila la kheri..
Kama unatoa Kyela niambie nikupe connection