Kusafirisha mzigo toka India

Kusafirisha mzigo toka India

mama dunia

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
420
Reaction score
84
Hi wadau.

Je unajua mtu au kampuni ya uhakika inayosafirisha mizigo from INDIA to Dar es salaam na kama ndio na charges zao kwa CBM inakuwaje.

Rgds
mama dunia
 
Tafadhari hata nami nahitaji taharifa kuhusu hili, ukifanikiwa kujua nje ya Jf nitaarifu na mimi.
 
Hi wadau.

Je unajua mtu au kampuni ya uhakika inayosafirisha mizigo from INDIA to Dar es salaam na kama ndio na charges zao kwa CBM inakuwaje.

Rgds
mama dunia

habari,
ulifanikiwa kupata msafirishaji?, maana nami ninahitaji kusafirisha toka huko mita za ujazo chache.
 
Back
Top Bottom