Kusafirisha Sangara kwa usafiri wa ndege

Kusafirisha Sangara kwa usafiri wa ndege

Anonymous Caller

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
679
Reaction score
870
Habarini za mchana.

Nimewaza kufanya biashara tajwa, ya safirisha samaki kwa ndege kutoka mwanza kwenda dsm bila kutumia freezer.

Vibali vipo ila sina uzoefu na usafirishaji wa njia hii.

Je kwa mtaji uliopo wa milion mbili inawezekana? Naomba mwenye ABC za biashara hii anipe mbinu,cost,risk, na changamoto zake.

Nimefarijika kusikia serikali imenunua ndege maalum ya mizigo.

Karibuni wadau.
 
Kg 23 = 20,000/= Tshs
Asante uncle, huko dsm kg 1 ya sangara ni sh ngapi kwa sasa.

Pili hiyo 20,000/= @ kg 23 ni bei ya wakt wote mda wowote. Au inabadilikabadilika kutegemea na booking ya ticket.

Si unajua tena mambo ya flight mengi.mara sijui ukibook tiket ya kuondoka mda huohuo bei ni aghali tofauti na anayebook wiki kabla ya safari

Kwa mizigo je, ikoje hal
 
Asante uncle, huko dsm kg 1 ya sangara ni sh ngapi kwa sasa.

Pili hiyo 20,000/= @ kg 23 ni bei ya wakt wote mda wowote. Au inabadilikabadilika kutegemea na booking ya ticket.

Si unajua tena mambo ya flight mengi.mara sijui ukibook tiket ya kuondoka mda huohuo bei ni aghali tofauti na anayebook wiki kabla ya safari

Kwa mizigo je, ikoje hal

Bei ya kusafirisha mizigo ni constant. Pia kama huwezi kufika ofisini kwao basi chukua namba za wahusika kwa maelezo zaidi.
 
Mkuu wapi ntapata vibali vya kusafirisha samaki mie nipo dar naomba hints pls nataka nianze
 
Back
Top Bottom