Kusafirisha Watuhumiwa kwenye Usafiri wa Umma

Kusafirisha Watuhumiwa kwenye Usafiri wa Umma

Nilitolewa central Dar underground nikapelekwa mpaka ubungo nimevalishwa bangili haoooo tukapanda zetu shabbiby mpaka Dodoma, RIP inspekta vitus
Duh pole
Ulikuwa msala gani tena

Ova
 
Kwa mtu asiejua pingu kuropoka hivi ni kawaida ila kama ungejua pingu vizuri huwezi sema hayo. Na bado wamefungwa pamoja na huyo askari hayuko mikono mitupu usikae kiboya
Huyo anaye waescort sidhan kama ni askari,kwajinsi nilivyomwona ni kama alikuwa mwenyekiti wa kijiji
 
Askari mgambo huyo wa kitambo,,mzalendo,,mnywa maji ya bendera,, hapo malipo sidhani kama inazidi 10000!!!
Ok asante kwa ufafanuzi manake nilivyomtathimini nilimwona kama raia wa kawaida,kumbe ni Askari mgambo🙏
 
ikiwa gari tu la doria linakosa mafuta haya lakuwafuata hao watuhumiwa linatoka wapi
Hapa kuna cha kujifunza.
Kesi nyingi hufutwa mahakamani kisa upelelezi kukamilika.
Wewe ndio mlalamikaji wa kesi husika, ukapewa mpelelezi wa kesi hiyo mshirikiane, mpelelezi akatumia elimu yake ya upelelezi na kugundua mtuhumiwa alipo, kwa kuwa kuna ka umbali fulani, akakutaka msaada wa upatikanaji wa usafiri, wewe ukahisi askari anataka rushwa na usimpe. Unahisi askari mshahara wake ni kwa ajili ya mtuhumiwa wako? Na kitumia mshahara wake kwa kufuatilia kesi za watu, familia yake itaishije?
Askari huwa yuko tayari kusafiri popote kufuata/kukamata mtuhumiwa maana yeye ndio nguvu kazi, ila anashindwa kujisafirisha 7bu nae anafamilia.
Serekali nayo haiwezi kujua kwamba fulani kesho atakosewa na atafungua kesi itakayohitaji bajeti ya kumfuata mtuhumiwa wake.
Hiki ndio hupelekea jesi nyingi kufa bila mlalamikaji kupata haki yake na lawama kupewa askari moja kwa moja.
 
Halafu kuna watu wanapiga mabilioni huko serikalini adhabu zao....... Ngoja niishie hapa
Lazima uishie hapo naana kosa ni la kwetu sisi wananchi tunaowapigia kura wabunge ambao tunajua kuwa huyu ni kwa maslahi yake binafi na sio kwa Taifa, na utaratibu upo wa kisheria wa kumkataa kama hatufai na hatujawakataa.
Halafu tunajisahaulisha kuwa hao ndio wanaotunga sheri.
 
Lazima uishie hapo naana kosa ni la kwetu sisi wananchi tunaowapigia kura wabunge ambao tunajua kuwa huyu ni kwa maslahi yake binafi na sio kwa Taifa, na utaratibu upo wa kisheria wa kumkataa kama hatufai na hatujawakataa.
Halafu tunajisahaulisha kuwa hao ndio wanaotunga sheri.
Kaka tz hakuna uchaguzi ni maigizo tu, kungekuwa na uchaguzi znz ingeongozwa na cuf kitambo sana
 
Kaka tz hakuna uchaguzi ni maigizo tu, kungekuwa na uchaguzi znz ingeongozwa na cuf kitambo sana
Huko usiongelee znz wanajitambua sana wale jamaa, wana shida tu ya viongozi wao. Znz ni nchi moja rahisi sana kuiongoza maana wananchi wake ni waelewa.
 
Ila ni camera ambayo naona inatoa natural colors bila kuremba rwmba picha
🤣🤣Achana na jamaa huyo,kamera ni nzima na simu ni og,kamera ina uwezo wa kuremba ila hadi uselect sehemu ya beauty,usiposelect inakutolea picha kama ilivyo.
 
Back
Top Bottom