mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Hutakiwi kuondoa 'wax' kwenye masikio!
Kama una masikio sikia.
Lengo sio kuondoa wax ni usafi tu wa kawaida badala ya kutumia zile njiti zenye pamba nilidhani kama kuna dawa ya matoneAnamasikio ila jamejaa uchafu - Nta, hasikii, ndiyo maana anaulizia dawa ya kusafisha
Lengo sio kuondoa wax ni usafi tu wa kawaida badala ya kutumia zile njiti zenye pamba nilidhani kama kuna dawa ya matone