Kusafisha pochi za kinamama na walet

Kusafisha pochi za kinamama na walet

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
27,031
Reaction score
49,928
Unakuta pochi ya mama au mdada kwa nje ni nzurii na ni ya bei ila huko ndani ni majanga. Mafoundation yamemwagika huko ,malipstick marangi. Mwingine aliweka msosi kwnye sherehe kikamwagika huko, mwingine alitupia huko pedi chafu imegandiana yaani vurugu tupu.

Wanaume nao wallet toka alipoinunua haijawai kupitishwa maji hadi ina kunguni
hebu wadau tusaidiane ni jinsi gani ya kusafisha pochi na wallet maana hili jambo limekuwa mtihani kwa wengi.
Saa zingine inabidi tu utupe pochi maana haisafishiki ndani.
 
Ninakung'uta hand bags nikipata muda kweli unakutana na tissues risit. Changamoto ni pale asubuhi umevaa viatu vya brown ukichukua hand bag ya brown kumbe funguo za ofisi uliziacha kwenye handbag ya jana
 
Sio uchokozi mkuu, tizama vizur unakuta dildo, sambusa, vitumbua,.. Pedi, kitambaa cha makamasi,... Vingine aviongeleki
Dildo zinakaa chumbani hao waozibeba kwenye handbag ni psychiatric cases
 
Umeandika nn apo,.. Tatizo ukweli utaki na sijasema jina,..
unadaiwa sh ngapi shule ? nitumiea account namba ya shule nikadeposit bank kesho nikurushie slip ya benk pm urudi shule .ukikua utarudi kuchat humu
 
Eeeee!! kumbe na walet za wanaume huwa zinafuliwa!!
 
Dildo zinakaa chumbani hao waozibeba kwenye handbag ni psychiatric cases

Ndo wa jiji hili. walivyo kama ulikua ujui,.. Na niwajuaji ao lakin ukingia kweny contena zao utazimia, sio wote kwa wale niliokutana nao mim
 
unadaiwa sh ngapi shule ? nitumiea account namba ya shule nikadeposit bank kesho nikurushie slip ya benk pm urudi shule .ukikua utarudi kuchat humu

Izo hela kalipie njaa zako kwanza usinitangazie mim,.. Unitaftia ban tu maanak ndo zako ukiguswa kunako,
 
Duuuh!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Za kiume zafuliwa atiee?????
 
Back
Top Bottom