Kitoe kitupe mbali kabisaπππππNikikitoa kutakuwa na shida maana naona mwanga wote unapiga kwenye hicho kibati
Nashukuru mkuu nimetumia technic yako nimefanikiwa kuifungua. Ule mng'ao wake ndani umekwajuka sana kilichobaki ni kubadili kioo mng'ao. Sijui wanauza wapMzee kufungua hicho kioo siyo mchezo.
Kinafunguka kwa Oven, Unakioka kama mkate, Then ndio unaweza ukabandua gundi yake.
Na ukishabandua kukirudishia biashara ni hiyohiyo.
Shida tu hujatuambia gari yako ni gani?
Ila mchina hizo headlight lens cover anaziuza sana halafu ni bei chee.
View attachment 2597662
Unatia kioo kipya taa inakuwa mpya kabisa. Hii ishu naplan kuifanya miezi si mingi.
Pia kwa wale ambao taa zao zina maji ndani, watumie dessicant gel, Maji yataondoka faster sana.
Vioo vinauzwa mkuu, Hawa watu wa Car Styling wanakuwa navyo. Otherwise uagize. Huwa naviona sana Alibaba.Nashukuru mkuu nimetumia technic yako nimefanikiwa kuifungua. Ule mng'ao wake ndani umekwajuka sana kilichobaki ni kubadili kioo mng'ao. Sijui wanauza wap
Nashukuru let me work on it.Vioo vinauzwa mkuu, Hawa watu wa Car Styling wanakuwa navyo. Otherwise uagize. Huwa naviona sana Alibaba.
π π π π πnahisi kama kinazuia mwanga
Ukikitoa hicho kibati, au usipokitoa...hautaona tofauti yoyote ya mwanga.,Maana taa za pikipiki hazina hicho kibati lakini mwanga wake ni mkali wa kutosha.
Kuna jamaa anaifanya tabataMzee kufungua hicho kioo siyo mchezo.
Kinafunguka kwa Oven, Unakioka kama mkate, Then ndio unaweza ukabandua gundi yake.
Na ukishabandua kukirudishia biashara ni hiyohiyo.
Shida tu hujatuambia gari yako ni gani?
Ila mchina hizo headlight lens cover anaziuza sana halafu ni bei chee.
View attachment 2597662
Unatia kioo kipya taa inakuwa mpya kabisa. Hii ishu naplan kuifanya miezi si mingi.
Pia kwa wale ambao taa zao zina maji ndani, watumie dessicant gel, Maji yataondoka faster sana.
Sisi wakati tunasoma wewe kazi yako kuangalia walimu na rulaNikikitoa kutakuwa na shida maana naona mwanga wote unapiga kwenye hicho kibati
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Be nice mkuu. Lol!!Sisi wakati tunasoma wewe kazi yako kuangalia walimu na rula