Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda gereji yoyote waulizie huduma ya kusafisha taa kwa ndani sio nje peke yakeMsaada wataalam, taa za mbele zina kama vumbi kwa ndani na nataka kufuta hilo vumbi, je kuna uwezekano wa kufungua kioo nikafuta kwa ndani kisha nikagundisha tena?
Mzee kufungua hicho kioo siyo mchezo.Msaada wataalam, taa za mbele zina kama vumbi kwa ndani na nataka kufuta hilo vumbi, je kuna uwezekano wa kufungua kioo nikafuta kwa ndani kisha nikagundisha tena?
Bro peleka gari yako garage wanamashine za kusafishia taa kwa ndani nakuondoa uvungu woteMsaada wataalam, taa za mbele zina kama vumbi kwa ndani na nataka kufuta hilo vumbi, je kuna uwezekano wa kufungua kioo nikafuta kwa ndani kisha nikagundisha tena?
Ndio pia kuna maji kwa chini. Yaani ni full ukungu. Halafu kwenye hizi head light. Pia naomba kuuliza kwenye hizi headlight kunakuwa na kibati fulani mbele ya [emoji362] kinakuwa na kazi gani nahisi kama kinazuia mwanga, maana kiko kwa mbele ya bulb.Mzee kufungua hicho kioo siyo mchezo.
Kinafunguka kwa Oven, Unakioka kama mkate, Then ndio unaweza ukabandua gundi yake.
Na ukishabandua kukirudishia biashara ni hiyohiyo.
Shida tu hujatuambia gari yako ni gani?
Ila mchina hizo headlight lens cover anaziuza sana halafu ni bei chee.
View attachment 2597662
Unatia kioo kipya taa inakuwa mpya kabisa. Hii ishu naplan kuifanya miezi si mingi.
Pia kwa wale ambao taa zao zina maji ndani, watumie dessicant gel, Maji yataondoka faster sana.
Hata kwa ndani naweza kutumia hivyo vifaa?Kata kiazi mbatata halafu sugulia kwenye taa then futa Kwa tissue.Ama chukua Colgate changanya na jivu sungua na kitambaa.
Hicho kibati hakina shida, nadhani ni mambo tu ya reflection ya mwanga. Taa nyingi tu zipo hivo.Ndio pia kuna maji kwa chini. Yaani ni full ukungu. Halafu kwenye hizi head light. Pia naomba kuuliza kwenye hizi headlight kunakuwa na kibati fulani mbele ya [emoji362] kinakuwa na kazi gani nahisi kama kinazuia mwanga, maana kiko kwa mbele ya bulb.
Hicho kibati hakina shida, nadhani ni mambo tu ya reflection ya mwanga. Taa nyingi tu zipo hivo.Ndio pia kuna maji kwa chini. Yaani ni full ukungu. Halafu kwenye hizi head light. Pia naomba kuuliza kwenye hizi headlight kunakuwa na kibati fulani mbele ya [emoji362] kinakuwa na kazi gani nahisi kama kinazuia mwanga, maana kiko kwa mbele ya bulb.
Nikikitoa kutakuwa na shida maana naona mwanga wote unapiga kwenye hicho kibatiHicho kibati hakina shida, nadhani ni mambo tu ya reflection ya mwanga. Taa nyingi tu zipo hivo.
Shida inaweza kuwepo, nadhani taa haitaweza kumulika mbali. Sina uhakika.Nikikitoa kutakuwa na shida maana naona mwanga wote unapiga kwenye hicho kibati
Maana taa za pikipiki hazina hicho kibati lakini mwanga wake ni mkali wa kutosha.Shida inaweza kuwepo, nadhani taa haitaweza kumulika mbali. Sina uhakika.
Lazima kutakuwa na shida. Walioweka si wajinga. Siyo kwenye gari yako tu ni gari nyingi kimewekwa sasa wewe utoe uone utakavyo haribu. Watu weupe wanaweka kitu kwa hesabu. Siyo urembo huoNikikitoa kutakuwa na shida maana naona mwanga wote unapiga kwenye hicho kibati
Na kuna taa zinacho hicho kidude na zina mwanga wa kutosha.Maana taa za pikipiki hazina hicho kibati lakini mwanga wake ni mkali wa kutosha.
Mi najuwa nje tu.Hata kwa ndani naweza kutumia hivyo vifaa?
Nashukuru mkuuMi najuwa nje tu.
Hicho kibati ndio kinasababisha mwanga kusambaa, endapo utakitoa ukiwasha taa utamulika kama tochi yaani utapiga sehemu moja.Nikikitoa kutakuwa na shida maana naona mwanga wote unapiga kwenye hicho kibati
Hicho kibati ni deflector. Umeshaona wale wanaorekodi video au kupiga picha wakiwa wanafanya kazi zao huwa kuna muda wanatumia vitu kama miamvuli kutawanya mwanga. Ndio kazi yake hiyo.Ndio pia kuna maji kwa chini. Yaani ni full ukungu. Halafu kwenye hizi head light. Pia naomba kuuliza kwenye hizi headlight kunakuwa na kibati fulani mbele ya [emoji362] kinakuwa na kazi gani nahisi kama kinazuia mwanga, maana kiko kwa mbele ya bulb.
Ukikitoa utaathiri mwanga wa taa yako na utafanya taa za gari zisiangaze vema.Nikikitoa kutakuwa na shida maana naona mwanga wote unapiga kwenye hicho kibati