Kusaga ampigia simu Diamond Platnumz akiwa live Clouds FM

Kusaga ampigia simu Diamond Platnumz akiwa live Clouds FM

Kwa kipindi cha muda mrefu redio Clouds Fm walikuwa na tabia za kutopiga nyimbo za wasanii pindi inapotokea wamepishana either na wao kama redio au na mmoja wa viongozi hapo.

Ilishatokea kwa chuma, binti machozi Lady Jaydee, Ruby, Diamonds na wengine wengine, though baadae baada ya tofauti kuisha wanakuwa wanapiga nyimbo, ni kituo binafsi na hawapangiwi na mtu, na ni biashara binafsi kwahiyo ni suala lao binafsi.

Vipi ban kwa Diamond sasa imeshaisha, maana leo imepigwa nyimbo ambayo Diamond yupo ya Yope remix, najua kuna watu watasema ooh wamepiga nyimbo ya Innos na sio ya Diamond, swali ni kwamba ipo original ambayo Mtandale hayupo na ndio huwa wanaipiga, vipi ban imeisha?

My Take: Michezo ya kibiashara zikichezwa kibiashara, Biashara husika zinapanuka, ili zipanuke lazima wachezaji wajue mchezo vizuri na wajue ni mchezo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sio tu ameamua kuwaambia wapige,sema cloudsfmtz inashuka kila siku kwasababu ya bifu za hovyo Sana na wasafi na wasanii wengine

Mfano kipindi cha xxl zamani kilikuwa na wadhamini wengi lakini now ni Mmoja tu Tigo mwanzo mwisho,sikiliza utaona,na matangazo madogo ya pepsi na sitetereki,so mapato yameshuka Sana,wanatafuta booster

Ukitaka kujua bifu zinaua media we Angalia tu East Africa redio,siku hizi vipindi vyao vingi havina wadhamini,mfano planet bongo,nk

so nadhani kusaga yuko sahihi kabisa,lazima atafute suluhu Kama alivyofanya issue ya jide.
japo issue ya diamond na cloudsfmtz ni ngumu sana hasa kwenye masuala ya matamasha na media competition.
 
sio tu ameamua kuwaambia wapige,sema cloudsfmtz inashuka kila siku kwasababu ya bifu za hovyo Sana na wasafi na wasanii wengine

Mfano kipindi cha xxl zamani kilikuwa na wadhamini wengi lakini now ni Mmoja tu Tigo mwanzo mwisho,sikiliza utaona,na matangazo madogo ya pepsi na sitetereki,so mapato yameshuka Sana,wanatafuta booster

Ukitaka kujua bifu zinaua media we Angalia tu East Africa redio,siku hizi vipindi vyao vingi havina wadhamini,mfano planet bongo,nk

so nadhani kusaga yuko sahihi kabisa,lazima atafute suluhu Kama alivyofanya issue ya jide.
japo issue ya diamond na cloudsfmtz ni ngumu sana hasa kwenye masuala ya matamasha na media competition.
100% True.
 
Hili kwa uongozi wa WCB halikubaliki kabisa Kusaga yeye kashindwa nini kuunga tela wazo la Mond la watu 500, hii ilitakiwa nyuma ya pazia na baada ya hapo waje kwenye vyombo vya habari pamoja, CMG wajipange wao kama wao, Mi ningwaulize kwani nyie mmejipangaje?hata wimbo ningewauliza nyie mmepangaje?
 
sio tu ameamua kuwaambia wapige,sema cloudsfmtz inashuka kila siku kwasababu ya bifu za hovyo Sana na wasafi na wasanii wengine

Mfano kipindi cha xxl zamani kilikuwa na wadhamini wengi lakini now ni Mmoja tu Tigo mwanzo mwisho,sikiliza utaona,na matangazo madogo ya pepsi na sitetereki,so mapato yameshuka Sana,wanatafuta booster

Ukitaka kujua bifu zinaua media we Angalia tu East Africa redio,siku hizi vipindi vyao vingi havina wadhamini,mfano planet bongo,nk

so nadhani kusaga yuko sahihi kabisa,lazima atafute suluhu Kama alivyofanya issue ya jide.
japo issue ya diamond na cloudsfmtz ni ngumu sana hasa kwenye masuala ya matamasha na media competition.
Sidhani kama Diamond atakubali hii bifu iishe kwasababu inamlipa yeye zaidi kupitia matamasha na biashara zingine,kwasababu ana fanbase kubwa,hawa clouds ndio washindani wake wakuu kuliko eatv au efm,hivyo kuweka Mambo sawa sidhani kama ushindani wake hasa kupitia matamasha utakuwepo.
 
diamond ni media owner wa media ipi??Kama ni wasafi media owner ni familia ya huyo huyo kusaga through mke wake...
Huna unalojua, family ya kusaga inaown % ngapi? Na unajua Mond pia ana share % ngapi?
Kwa ufukunyuku niliofanya sijawahi kuona jina la kusaga wala member wa familia yake kwenye orodha ya wamiliki wa wasafi media. Labda kama una orodha yako.
Diamond ana 45%
Kuna Zhaghalulu Ajmy (ambaye ndo inasemekana ana uhusiano na kusaga) ana 53%
Na Khatib Dai mwenye 2%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walidhiano ni jambo la.msingi kila mahali..kama kuna uwezekano domo na mawingu kuweka tofauti zao pembeni maisha yasonge itakuwa jambo la msingi sana...nilichokipenda kumbe Mawingu bado wanazo nyimbo za domo kwenye saver zao aisee...😀 so lolote linaweza tokea.
 
Leta ushahidi, otherwise comment yako ni ya kupuuzwa kama tulivyoanza kuyapuuza mapapai

Sent using Jamii Forums mobile app
Una lingine?
Nioneshe jina la kusaga.
Huyo mwanamke mwenye 53% ndo anayewapa jeuri ya kummilikisha media Kusaga!!!??
Screenshot_20200504-102917~2.jpg
Screenshot_20200504-103028~2.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wa
Walidhiano ni jambo la.msingi kila mahali..kama kuna uwezekano domo na mawingu kuweka tofauti zao pembeni maisha yasonge itakuwa jambo la msingi sana...nilichokipenda kumbe Mawingu bado wanazo nyimbo za domo kwenye saver zao aisee...😀 so lolote linaweza tokea.
[/QUOTWatakuwa wamedownload hapohapo 😂😂,sema bifu hazisaidii wamalize tofauti zao japo najua kibiashara itawaathiri
 
Hii idea clouds waliwahi changisha watu maafa ya kilosa na gongo la mboto
 
Kumbe nyimbo zake zote wanazo kwenye maktaba yao, sema huwaga ni kiburi tu hawapigi. From business point of view Diamond was right, hawezi chagua wimbo mmoja ilihali ana nyimbo nyingi na selection ya wimbo wake ingezua maswali kadhaa.
 
Back
Top Bottom