Yess.. wewe unahisa ngapi?Mwenye hisa kubwa wasafi ndio mwenye hisa clouds pia
Huwezi kumgomea BossHuyu kusaga ana Bahati kakutana na hao akina Siza, Angewashitukiza Akina Mchomvu Wangemgomea
Huyu anayepigia watu live wachangie hafai. Huko ni kuwaharibia kabisa ni kama kawalazimisha sababu ukiwa live Tanzania nzima inakusikia ni ngumu kukataa utaonekana mbaya. Sema hajakutana na watu kama mimi, unanipigia live nakukatia simu sipendi ujinga.
Diamond ashasema anatoa msaada kwa watu 50k sijui 500k wenye maisha ya chini. Bado wanazidi kumkaba, kama anataka kusaidia muacheni atasaidia akijisikia
kujitolea hakuna ukomo.Huyu kusaga nae anazeeka vibaya,,
Diamond amejitolea mpaka jengo lake litumike Kama dispensary ya corona,,
Au anataka kula hela tu huyu mshashi?
Anavimbiwa kiana tu..Huwezi kumgomea Boss
Huyu anayepigia watu live wachangie hafai. Huko ni kuwaharibia kabisa ni kama kawalazimisha sababu ukiwa live Tanzania nzima inakusikia ni ngumu kukataa utaonekana mbaya. Sema hajakutana na watu kama mimi, unanipigia live nakukatia simu sipendi ujinga.
Diamond ashasema anatoa msaada kwa watu 50k sijui 500k wenye maisha ya chini. Bado wanazidi kumkaba, kama anataka kusaidia muacheni atasaidia akijisikia
Nyie ndo mnaomletea matatizo mmiliki wa huu mtandao.UPDATES ZA UHAKIKA!!! CORONAVIRUS TANZANIA
Mpaka leo , May 4, 2020 saa 8 (2: 00 AM)
Kesi: 6,836
Vifo: 542
Kusaga ni pimbi tu kama mapimbi Wengine huko milimani..Huyo kusaga anataka Cc #Robidinyo asile leo na awe adui wa cloudsfmtz.
Takwimu za ufipa si za kazi gani.UPDATES ZA UHAKIKA!!! CORONAVIRUS TANZANIA
Mpaka leo , May 4, 2020 saa 8 (2: 00 AM)
Kesi: 6,836
Vifo: 542