Hata wasafi hawapigi nyimbo za Ruge
Kwani hujui kuwa Ruge alikuwa mtunzi mahiri? Zaidi ya 90% ya nyimbo za album ya Machozi ya Lady Jay Dee zilitungwa na Rage.Leo ndio nimeamini una umwa hahahahaha
Sent from my iPhone using Tapatalk
sasa mkuu kati yangu na wewe nani hana analolijua..hujawai liona jina la mamber wa familia yake alafu hapo hapo una mention jina la mke wa kusaga Juhayna Zaghalulu Ajmy kuwa ana 53%...unachobisha ni nini hapo, huoni aibu??Huna unalojua, family ya kusaga inaown % ngapi? Na unajua Mond pia ana share % ngapi?
Kwa ufukunyuku niliofanya sijawahi kuona jina la kusaga wala member wa familia yake kwenye orodha ya wamiliki wa wasafi media. Labda kama una orodha yako.
Diamond ana 45%
Kuna Zhaghalulu Ajmy (ambaye ndo inasemekana ana uhusiano na kusaga) ana 53%
Na Khatib Dai mwenye 2%
Sent using Jamii Forums mobile app
ushahidi upi unataka....ushahidi nenda TCRA alafu wakupe majina ya wamiliki wa wasafi media then uangalia kati ya majina haya Juhayna Zaghalulu Ajmy,Nasibu Abdul Juma na Ali Khatib Dai alafu uangalie mwenye hisa nyingi ni nani hapo,huyo ndo atakuwa mmiliki wa wasafi mediaApa mzeeee hii kauli huwa siamini ata nukta, lete ushahidi labda ndo tutaelewa.
(Ila kama ni jokes sawa)
MKUU UMEMALIZA KABISA AISEE
Hahahahahahahahah Simba kaniboa kinoma ingetakiwa hiyo ndio iwe choice.
MajizO mmiliki EFM ana hisa 40% mbona tunamwita mmiliki wa EFM radio na TV,60% anazo nani?ushahidi upi unataka....ushahidi nenda TCRA alafu wakupe majina ya wamiliki wa wasafi media then uangalia kati ya majina haya Juhayna Zaghalulu Ajmy,Nasibu Abdul Juma na Ali Khatib Dai alafu uangalie mwenye hisa nyingi ni nani hapo,huyo ndo atakuwa mmiliki wa wasafi media
Kwa Kiburi chake, atapoteza wadhamini wengi tu, hajui PRKusaga alikuwa live anawapigia simu watu na mashirika mbalimbali watoe michango yao kwa ajili ya mapambano ya corona, akampgia Diamond.
Diamond kakubali kuchangia ila kasema mchango wake utatajwa kesho. Kusaga kamwambia ataje wimbo wake ambao upigwe, akachagua sitobaki kama nilivyo wa joel luhagwa.
Akamsisitiza achague wa kwake, akajibu nina nyimbo nyingi nyie chagueni wowote mnaotaka.
Kusaga amsisitiza jamaa kagoma mwisho kasema au pigeni wimbo nilioshirikishwa.
Naona Mond hataki tena nyimbo zake zipigwe Mawingu.
Kusema ukweli humu JF kuna watu wakubwa sana na wenye pesa zao , sema hizi ID zinatufanya kila mtu tumuone wa hivi hivi , lol
Sio kila mtu omba omba kama akina warumi , wengine wana pesa chafu
Kuna danga nilienda kukutana nalo humu JF , nikashangaa mtu kapaki X6 no D, wacha matako yaanze kucheza warumi mie [emoji16][emoji16], inshort kuna watu humu sio wa kuwachukulia poa kabisa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wamezoea hisa zile zinazonunuliwa kutoka taasisi za serikali kwamba mwenye hisa nyingi ndio anaendesha taasisi na wakati mwingine ndio anaonekana ni mmilki kumbe inawezekana kabisa ukiona vipi ukachukua hisa zake hata kama ni nyingi kutokana na mkataba uliopoROGERSHINE unaijua maana ya mmiliki?
mmiliki ni founder wa kitu haijalishi ana hisa kiasi gani, hao wengine ni wanahisa tu..
ndo maana hata CMG jo ndo mmiliki coz ye ndo founder bt ana hisa ndogo kulinganisha na wanahisa wengine, nyie tatizo lenu chuki zinawatesa hata mkawa kama mazuzu kutaka kuupindisha ukweli ili wasio na ufaham wasielewe
Kwani huyu mwingine amejionyesha au aliamua mwenyewe asikike live?Kiba ashspigiwa kimya kimya sema hapendi kujionyesha hapendi show off
Umemmaliza kila kitu wewe jamaa una uwelewa wa biashara hao wengine sijui hata biashara ya nyanya Kama wamewahi kufanya kimsingi wa biashara hasa wa kikampuni founder ndo anakuwa na power kubwa ya maamuzi hata Kama akiwa ana hisa ndogo mfano mzuri microsoftware anatajwa mmiliki bil Gates lakini mwenye hisa kubwa ni Steve Baller anatajwa huyo Bill gates kwasababu yeye ndio founder wa kampuni na ndio mwenye maamuzi makubwa kuliko Steve Ballmer sio kila mtu mwenye hisa kubwa Ni mmiliki Bali wale wanakuwa watu walioweka mpunga mkubwa zaidi ya mmiliki ndo maana wanaitwa partners.ROGERSHINE unaijua maana ya mmiliki?
mmiliki ni founder wa kitu haijalishi ana hisa kiasi gani, hao wengine ni wanahisa tu..
ndo maana hata CMG jo ndo mmiliki coz ye ndo founder bt ana hisa ndogo kulinganisha na wanahisa wengine, nyie tatizo lenu chuki zinawatesa hata mkawa kama mazuzu kutaka kuupindisha ukweli ili wasio na ufaham wasielewe
Kusaga ni owner wa radio zote na kuchanga sio kutafuta masifa.Hahaha, mtu unaweza kujiharibia siku bure kwa kuwashtukiza watu.
Diamond ni media owner kwa sasa, wewe kutangaza kupitia media nyingine na kutaka yeye achangie ili media hiyo ipate credit kwamba imewachangisha watu si kitu sahihi.
Yeye alitakiwa kuwapigia business partners wa Clouds, na kama anataka angeenda Wasafi kufanya utaratibu kama huo na kuwapigia watu anaoona ni business partners wa Wasafi.
Punguza jazba za kike.Kusaga ni Vyema Awaachie Vijana Waendeshe Kampuni hana analolijua, Vijana wa Pale mjengoni hawataki kumsikia Diamond na Diamond hataki Kuisikia Clouds, kusaga awaache kila mtu aendelee ni mishe zake Uwezo Wake ni Mdogo kwa kua ni Boss bas anataka Kuforce Vitu visivyowezekana, Ruge alimbeba sana huyu Kusaga
Kipindi kile alijipendekeza akawaamlisha vijana wapige Nyimbo za Diamond, Mameneja wake wakamshushua, Bado anangangania tu aache Upimbi na Kujipendekeza kwa Diamond,.