Ha haaaa unajua unayemponda mpo timu moja , sema mwenzako ana reverse ila wewe ni one way thinker .....Punguza jazba za kike.
Huyo diamond mwenyewe ametolewa wenge na kusaga na ameelewa sembuse wewe shabiki mandazi.
mwenye share nyingi ndo mmiliki,hao uliosema wanamiliki hizo share kwenye hayo makampuni kuna anayewazidi kwa share nyingi za umilikikwenye hizo kampuni...weka mihemko na mahaba pembeni toa facts ckuzote,usitake unavyopenda wewe ndo iwe,sometimes ukweli ni ule usioupenda wewe kuusikia ingawa najua inaumaMajizO mmiliki EFM ana hisa 40% mbona tunamwita mmiliki wa EFM radio na TV,60% anazo nani?
Mark Zuckerburg anaitwa mmiliki wa Facebook anamiliki 25% .
Sasa kuna tatizo gani tukisema Diamond mmiliki wa Wasafi pamoja 45% ?au kwa kuwa ni Diamond basi nongwa.
kuna tofauti kubwa kati yakua mmiliki na kua share holder mkuu, kusaga ni share holder bt diamond ni mmiliki wa wasafi media na ni share holder pia, hati miliki ya wasafi media anaimiliki founder na sio share holder, kama hujaelewa basi kichwa imejaa majimwenye share nyingi ndo mmiliki,hao uliosema wanamiliki hizo share kwenye hayo makampuni kuna anayewazidi kwa share nyingi za umilikikwenye hizo kampuni...weka mihemko na mahaba pembeni toa facts ckuzote,usitake unavyopenda wewe ndo iwe,sometimes ukweli ni ule usioupenda wewe kuusikia ingawa najua inauma
Mwenye share nyingi anaitwa mmiliki kwa hiyo Majizo na Mark Zuckeberg sio wamiliki au wanavyowaita wamiliki wanakosea au hawana facts?mwenye share nyingi ndo mmiliki,hao uliosema wanamiliki hizo share kwenye hayo makampuni kuna anayewazidi kwa share nyingi za umilikikwenye hizo kampuni...weka mihemko na mahaba pembeni toa facts ckuzote,usitake unavyopenda wewe ndo iwe,sometimes ukweli ni ule usioupenda wewe kuusikia ingawa najua inauma
Hahaha, mtu unaweza kujiharibia siku bure kwa kuwashtukiza watu.
Diamond ni media owner kwa sasa, wewe kutangaza kupitia media nyingine na kutaka yeye achangie ili media hiyo ipate credit kwamba imewachangisha watu si kitu sahihi.
Yeye alitakiwa kuwapigia business partners wa Clouds, na kama anataka angeenda Wasafi kufanya utaratibu kama huo na kuwapigia watu anaoona ni business partners wa Wasafi.
Aisee, hata mm nimeshangazwa sana hili jambo.. kiukweli hapa Kusaga amechemsha
Sent using Jamii Forums mobile app
π€£π€£π€£ mimi nipo team zote kuanzia mabaga fresh, uswahilini matola, east cost team, wcb, konge gang , kings nkHa haaaa unajua unayemponda mpo timu moja , sema mwenzako ana reverse ila wewe ni one way thinker .....
diamond ni media owner wa media ipi??Kama ni wasafi media owner ni familia ya huyo huyo kusaga through mke wake...
kuna tofauti kubwa kati yakua mmiliki na kua share holder mkuu, kusaga ni share holder bt diamond ni mmiliki wa wasafi media na ni share holder pia, hati miliki ya wasafi media anaimiliki founder na sio share holder, kama hujaelewa basi kichwa imejaa maji
Kama ni kweli amefanya vyema.Huyu kusaga nae anazeeka vibaya,,
Diamond amejitolea mpaka jengo lake litumike Kama dispensary ya corona,,
Au anataka kula hela tu huyu mshashi?
Ni bosi wake tangu mwanzo na hadi mbeleni
Kumiliki jina la inavyoitwa, mkuu huyo ni bosi wake na alimsikiliza leo kama siku zingine zote FULL STOP
mkuu utakua na mtindio wa ubongo sio bureAkiwa ni bosi wa radio hizo mbili anachemshaje?
π€£π€£π€£Punguza jazba za kike.
Huyo diamond mwenyewe ametolewa wenge na kusaga na ameelewa sembuse wewe shabiki mandazi.
Hahahahahahahahah mnageukana sio.Punguza jazba za kike.
Huyo diamond mwenyewe ametolewa wenge na kusaga na ameelewa sembuse wewe shabiki mandazi.
πππKusaga naye ameonekana alikuwa akibebwa na Ruge hakuna anachojua hapo CMG. Huo nao watasema ubunifu.
Diamond ili aonekane katoa mchango kukabiliana na corona lazima achangie mafenesi, papai na mbuzi!
mkuu utakua na mtindio wa ubongo sio bure
Naona kichwa yako ndo ipo full maji so unajitahidi kuhamisha hizo maji zilizojaa kwenye vichwa vya wengine ili viwe kama cha kwako...wasafi media ambayo ni kampuni inamilikiwa na watu watatu(kusaga si mmoja wao/wife wake ndo mmoja wa wamiliki..assumption..so huwa tunasema kusaga ni mmiliki kwa kutumia mwamvuli wa wife ake)...hii ni kwa mujibu wa chapisho la gazeti la serikali kipindikuna tofauti kubwa kati yakua mmiliki na kua share holder mkuu, kusaga ni share holder bt diamond ni mmiliki wa wasafi media na ni share holder pia, hati miliki ya wasafi media anaimiliki founder na sio share holder, kama hujaelewa basi kichwa imejaa maji
we ni fool aidMaana yake ni kwamba wewe ndio unao mtindio kwa kuufahamu kwamba upo, unabisha sana kama vile unayafahamu. Shame on you