ROGERSHINE
Senior Member
- Aug 15, 2012
- 129
- 82
sasa kati ya mimi na wewe nani hana elimu kuhusu maswala ya hisa??...hao uliowataja unauhakika hawana share nyingi kuliko wengine kwenye hizo kampuni,kama wana share nyingi kwanini wasiwe wamiliki...any way ukitaka kujua mmiliki wa wasafi media ambayo ni kampuni tafuta chapisho la gazeti la serikali wakati kampuni inaanzishwa utaona majina ya wamiliki yamewekwa..am doneMwenye share nyingi anaitwa mmiliki kwa hiyo Majizo na Mark Zuckeberg sio wamiliki au wanavyowaita wamiliki wanakosea au hawana facts?
Unataka facts wakati hata elimu kuhusu maswala ya HISA huna.
owner wa nini??owner wa kampuni ya wasafi media tafuta chapisho la gazeti la serikali wakati inaanzishwa utawaona majina yao wameorodheshwa paleHiyo inamfanya Diamond asiwe owner?
Vyombo vya habari vinamtaja mmiliki wa EFM Majizo,Forbes wanamtaja mmiliki Bill gates japokuwa kuna mwengine ana hisa zaidi yake,hivyo hivyo Mark Zuckerburg.Ina maana wewe unajua kuliko Forbes?sasa kati ya mimi na wewe nani hana elimu kuhusu maswala ya hisa??...hao uliowataja unauhakika hawana share nyingi kuliko wengine kwenye hizo kampuni,kama wana share nyingi kwanini wasiwe wamiliki...any way ukitaka kujua mmiliki wa wasafi media ambayo ni kampuni tafuta chapisho la gazeti la serikali wakati kampuni inaanzishwa utaona majina ya wamiliki yamewekwa..am done
hebu google kwanza ili upate mwanga maana unabisha kama zuzuNaona kichwa yako ndo ipo full maji so unajitahidi kuhamisha hizo maji zilizojaa kwenye vichwa vya wengine ili viwe kama cha kwako...wasafi media ambayo ni kampuni inamilikiwa na watu watatu(kusaga si mmoja wao/wife wake ndo mmoja wa wamiliki..assumption..so huwa tunasema kusaga ni mmiliki kwa kutumia mwamvuli wa wife ake)...hii ni kwa mujibu wa chapisho la gazeti la serikali kipindi
inaanzishwa bila shaka chapisho kwenye gazeti la serikali ni moja ya matakwa ya kisheria katika uanzishaji wa kampuni...sasa wewe mkuu endelea kuruka ruka na assumption za story za vijiwe vya kahawa sjui founder,sjui hati miliki..kwenye chapisho la gazeti la serikali hakukuwa na hayo
Kwahiyo dimond pale wasafi kaajiliwa.?diamond ni media owner wa media ipi??Kama ni wasafi media owner ni familia ya huyo huyo kusaga through mke wake...
Ukitaka kuimiliki kampuni, miliki majority shares, Hauwezi ukamtoa mtu mwenye share nyingi kwenye umiliki wa kampuni! ulijiuliza kwa nini serikali ilikomaa Mo asivuke 51% ya hisa simba? simply angevuka hiyo % timu yote ingekuwa mfukoni kwake.kuna tofauti kubwa kati yakua mmiliki na kua share holder mkuu, kusaga ni share holder bt diamond ni mmiliki wa wasafi media na ni share holder pia, hati miliki ya wasafi media anaimiliki founder na sio share holder, kama hujaelewa basi kichwa imejaa maji
Majizo anashare nyingi EFmMwenye share nyingi anaitwa mmiliki kwa hiyo Majizo na Mark Zuckeberg sio wamiliki au wanavyowaita wamiliki wanakosea au hawana facts?
Unataka facts wakati hata elimu kuhusu maswala ya HISA huna.
huyo Ali khatib si ndo AlikibaUna lingine?
Nioneshe jina la kusaga.
Huyo mwanamke mwenye 53% ndo anayewapa jeuri ya kummilikisha media Kusaga!!!??View attachment 1439409View attachment 1439410
Sent using Jamii Forums mobile app
Majizo ana 40%,kuna mwana mama mmoja ana 40% na mwengine ana 20%.
sasa mbona mbona sioni unachobishia hapo ni nini, hata huyo unayemwita mwana mama ni mdogo wake wa tumbo moja, labda kama haulijui hilo.Majizo ana 40%,kuna mwana mama mmoja ana 40% na mwengine ana 20%.
Mhh kweli?sasa mbona mbona sioni unachobishia hapo ni nini, hata huyo unayemwita mwana mama ni mdogo wake wa tumbo moja, labda kama haulijui hilo.
asumption gani? labda uwe na ubishi wa kipaji tu, alichokifanya majizo ni kama wanavyofanya wahindi, kawekeza mtaji na katoa shares kwa familia, hii wanafanya kwa sababu ya kisheria, hauwezi kuanzisha company bila kuwa shares.Mhh kweli?
Assumption ana miliki asilimia 50?
Kwa hiyo unajua mpaka mambo ya kifamilia ya kina Majizo?Ndio uka assume ana miliki 80%?Ass
asumption gani? labda uwe na ubishi wa kipaji tu, alichokifanya majizo ni kama wanavyofanya wahindi, kawekeza mtaji na katoa shares kwa familia, hii wanafanya kwa sababu ya kisheria, hauwezi kuanzisha company bila kuwa shares.
According to information from Business Registrations and Licensing Agency (BRELA), TCRA shows that E-FM Company Limited is established and owned by three relatives, whereby Francis Antony Ciza owns 40% shares, Jean Claude Ciza 40% shares and Justine Antoine Ciza 20% shares
Mzee, nimenukuu report ya TCRA, Wewe kwako mtu kuwa na majority shate unaelewa vipi? naweza kuwa nabishana na mtu asiyeelewa hili jambo, mfano wewe umebisha kuwa Mark hana majority share Fb kisa ana 24%. sijajua uelewa wako kwenye majority shares, labda unataka uone mtu ana 60% ndio uamini kuwa ana majority shares,Kwa hiyo unajua mpaka mambo ya kifamilia ya kina Majizo?Ndio uka assume ana miliki 80%?
Kuwa ndugu wa baba mmoja haimanishi mnapenda,mnaweza mkawa wa baba mmoja kila mtu na mitikasi zake na familia yake.
Hili hata mie nikiwahi sikia. Mkewe kusaga ana hisa asilimia 53 ndani ya wasafi.. sema Nini hapo naona wenye pesa wanatucheza sherediamond ni media owner wa media ipi??Kama ni wasafi media owner ni familia ya huyo huyo kusaga through mke wake...
"Mzee, nimenukuu report ya TCRA, Wewe kwako mtu kuwa na majority shate unaelewa vipi? naweza kuwa nabishana na mtu asiyeelewa hili jambo, mfano wewe umebisha kuwa Mark hana majority share Fb kisa ana 24%. sijajua uelewa wako kwenye majority shares, labda unataka uone mtu ana 60% ndio uamini kuwa ana majority shares,