Ungejua nilichoandika usingejibu narudia tena we ni fool aidHaupo jikoni kaa kimya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejua nilichoandika usingejibu narudia tena we ni fool aidHaupo jikoni kaa kimya.
Kuhusu wasafi muachie Kusaga coz both clouds na wasafi zinamuhusu.
hv Mo n mmiliki wa Simba au ni muwekezajiushahidi upi unataka....ushahidi nenda TCRA alafu wakupe majina ya wamiliki wa wasafi media then uangalia kati ya majina haya Juhayna Zaghalulu Ajmy,Nasibu Abdul Juma na Ali Khatib Dai alafu uangalie mwenye hisa nyingi ni nani hapo,huyo ndo atakuwa mmiliki wa wasafi media
huyo kono kono akikujib nitaghv Mo n mmiliki wa Simba au ni muwekezaji
simba inamilikiwa na wanachama...inaendeshwa katika mfumo ambao unaruhusu uwekezaji,hata wewe ukiwa na hela zako unaweza enda pale simba ukanunua share nyingi ukamtoa moo ni hela yako tuhv Mo n mmiliki wa Simba au ni muwekezaji
umejinasa mwenyewe, hapo ndo ujue kuna tofauti kati ya mwekezaji na mmiliki kunguru wewesimba inamilikiwa na wanachama...inaendeshwa katika mfumo ambao unaruhusu uwekezaji,hata wewe ukiwa na hela zako unaweza enda pale simba ukanunua share nyingi ukamtoa moo ni hela yako tu
kwa nn wanamiliki wananchi na ikiwa Mo ndie mwenye hisa nyingi...?simba inamilikiwa na wanachama...inaendeshwa katika mfumo ambao unaruhusu uwekezaji,hata wewe ukiwa na hela zako unaweza enda pale simba ukanunua share nyingi ukamtoa moo ni hela yako tu
Ungejua nilichoandika usingejibu narudia tena we ni fool aid
uliepo jikoni endelea kupika dadaHaupo jikoni kaa kimya
Hapana, sijabishana kwenye hilo,diamond ni among owners of wasafi media, sijajua hatujaelewana wapi.Mkuu mbona unabisha facts so unakataa diamond hana hati miliki ya wasafi
Sent using Jamii Forums mobile app
wananchi ndo wenye hisa nyingi wana 51%,moo ana 49%...hisa za simba zimegawanywa katika sehemu mbili sehemu ya wanachama na sehemu ya mwekezaji/wawekezaji...mwekezaji/wawekezaji hisa zao hazitakiwi kuzidi 49%,waliweka hivyo mwekezaji asizidi 49% ili timu iendelee kuwa mali ya wananchi...umiliki wa kampuni ya simba ni tofauti na umiliki wa makampuni mengine..huku kampuni inamilikiwa na pande mbili...upande wa wanachama na upande wa mwekezaji...upande wa mwanachama hisa zao ni 51% ambao ndo wamiliki wa timu...upande wa mwekezaji hisa zao ni 49% na hawezi kuwa mmiliki wa timu never sababu hisa zake hazizidi zile za wanachama...na serikali imeweka hivyo makusudikwa nn wanamiliki wananchi na ikiwa Mo ndie mwenye hisa nyingi...?
naona hujui loloteumejinasa mwenyewe, hapo ndo ujue kuna tofauti kati ya mwekezaji na mmiliki kunguru wewe
endelea kujifunza hujachelewa mkuu, ukisoma kuhusu sheria za umiliki makampuni kuna haki za umiliki kati ya founder na share holders tatizo lako unaangalia umiliki wa kampuni kwa kuangalia upande mmoja wa share holder akati umiliki wa kampuni upo pande mbili, kuna umiliki wa moja kwa moja huu unamhusu founder na kuna umiliki kupitia hisa ndo maana anaposemwa mmiliki anatajawa founder direct na si share holder, labda wewe unambie umiliki unaoung'ang'ania katika hili ni upi ili nikueleweshe kabla hatujapoteza mda zaidinaona hujui lolote
huna cha kunielewesha mkuu,naomba tuishie hapohapoendelea kujifunza hujachelewa mkuu, ukisoma kuhusu sheria za umiliki makampuni kuna haki za umiliki kati ya founder na share holders tatizo lako unaangalia umiliki wa kampuni kwa kuangalia upande mmoja wa share holder akati umiliki wa kampuni upo pande mbili, kuna umiliki wa moja kwa moja huu unamhusu founder na kuna umiliki kupitia hisa ndo maana anaposemwa mmiliki anatajawa founder direct na si share holder, labda wewe unambie umiliki unaoung'ang'ania katika hili ni upi ili nikueleweshe kabla hatujapoteza mda zaidi
Makampuni kwa mujibu wa sheria yetu ya makampuni hapa Tz...yapo ya aina mbili. Yale ambayo yako limited by shares na ambayo yako limited by guarantee.endelea kujifunza hujachelewa mkuu, ukisoma kuhusu sheria za umiliki makampuni kuna haki za umiliki kati ya founder na share holders tatizo lako unaangalia umiliki wa kampuni kwa kuangalia upande mmoja wa share holder akati umiliki wa kampuni upo pande mbili, kuna umiliki wa moja kwa moja huu unamhusu founder na kuna umiliki kupitia hisa ndo maana anaposemwa mmiliki anatajawa founder direct na si share holder, labda wewe unambie umiliki unaoung'ang'ania katika hili ni upi ili nikueleweshe kabla hatujapoteza mda zaidi
mkuu umeenda mbali japo upo sahihi, kilicholeta ubishani kua mwenye share kubwa ndo mmiliki je sheria inasema hvo?Makampuni kwa mujibu wa sheria yetu ya makampuni hapa Tz...yapo ya aina mbili. Yale ambayo yako limited by shares na ambayo yako limited by guarantee.
Na katika hizo, pia kuna public companies na private companies.
Hakuna huo umiliki sijui wa founder or anything...huyo founder pamoja na wenzake, ni either wawe na hisa kwenye kampuni...au wawe guarantors.
Hakuna umiliki separately unaojulikana kama founding members kwa mujibu wa sheria...or else weka ushahidi wa sheria husika ya makampuni kuthibitisha hoja zako.
Acha kuchekesha mdau. Wamgomee kwani wao ndio wamemuajiri yeye au yeye ndiye kawaajiri wao!? Boss akiamua, kaamua. Hutaki, utaondoka.Huyu kusaga ana Bahati kakutana na hao akina Siza, Angewashitukiza Akina Mchomvu Wangemgomea