Kusaga : Tulipopiga wimbo wa Mbosso tuliambiwa tujieleze kwanini tulikuwa hatupigi nyimbo za wasanii wa Wasafi. Uongozi wa WCB uulizwe

Kusaga : Tulipopiga wimbo wa Mbosso tuliambiwa tujieleze kwanini tulikuwa hatupigi nyimbo za wasanii wa Wasafi. Uongozi wa WCB uulizwe

Diamond ana hisa 45% halafu unasema Diamond katoa jina, Kusaga ndo katoa mzigo?! Acheni masihara nyie watu! Halafu kiroja kingine ni hapo unaposema Kusaga ndie kaamua Wasafi miziki yao isipigwe kwenye baadhi ya radio wakati Kusaga mwenyewe wakati anahojiwa kasema wazi hana mamlaka yoyote juu ya WCB Label. Sasa how come tena awe na ubavu wa kuwapangia nyimbo zao zipige wapi na wapi zisipigwe?! Na kama aliamua zisipigwe, mbona baada ya uongozi wa WCB kugoma nyimbo zao mbona hajashinikiza ikiwa anao huo ubavu?!

The problem nyie watu bado hamtaki kukubali kwamba Diamond amepiga hatua kubwa sana, na matokeo yake ndo hayo! Kila kubwa linalofanyika, mnaamimi sio lake kwa saababu you don't believe ni SELF MADE hususani kutoka kwa mtu kama Diamond ambae hata shule yake yenyewe ndo hivyo tena!!!

Mwaka 2016, Diamond aliwahi kuhojiwa na kusema amekataa kusainiwa na Roc Nation ya Jay Z! Pitia huo uzi uone watu walivyokuwa wanamkejeli na kumwita muongo mtafuta kiki kwa maana hakuwa na ubavu wa kuwatolea nje ya Roc Nation! Na hao waliona Diamond alikuwa anatafuta kiki kwa sababu walikuwa hawataki kukubali kwamba jamaa alishapiga hatua kubwa!

Wote hao wakaja kuzibwa midomo baada ya hatimae Diamond kusainiwa na Universal! Na hata ukiangalia sababu alizotoa Diamond kwanini alikataa kusainiwa na Roc Nation, utaona alikuwa sahihi manake mkataba na Universal ulikuwa tofauti!!
Bro,unatumia nguvu kubwa sana kuwajibu wajinga,temana nao waache wajione washindi.
 
Hayo ni maelezo yako, sio yao wahusika. Haya ndo wengi tupo nayo kichwani ndo maana tunataka wahusika wenyewe waseme. Ninanimani tukiwasikia wenyewe tunaweza kushangaa sana.

Nani alitegemea kama Kusaga atasema WCB ndo wanakataa nyimbo zao zisipigwe hadi wewe unapata nafasi ya kulipinga?? Mi naamini kuna vingine vingi kwa pande zote

Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo hayo nimeyapata kupitia mfanyakazi wake Mchomvu ,kasema wao wamepewa maelekezo kutoka ktk Management.

So unapozungumzia Management manake ni timu ya watu wenye nafasi za juu za kufanya maamuzi ya kampuni husika,Kusaga akiwa ndiye mwenyekiti wa hiyo Management ,nashangaa anaposema hajui.

Alafu Clouds kwani WCB ndio wasanii wa kwanza kuwazuia nyimbo zao zisipigwe,mbona basi hawapigi nyimbo za Jide?
Mbona hawapigi za Wagosi wa Kaya?
Mbona hawapigi za Rama Dee?
Mbona hawapigi za Suma G?
Ina maana hawa wote waliwandikia barua hawataki nyimbo zao kupigwa?

Why wanaumia sana kwa WCB kukataa nyimbo zao zisipigwe?Wakati wao wenyewe mwanzo bila sababu ya msingi walizuia nyimbo zisipingwe.

Kwa nini wasiumie kutokupiga nyimbo za Jude,Suma G,Rama Dee,Wagosi wa Kaya?

Kuna ubaya gani Management ya WCB kukataza nyimbo zao zisipigwe,wakati wao kupitia Management yao walisema hamna kupiga nyimbo ya WCB.
 
Maelezo hayo nimeyapata kupitia mfanyakazi wake Mchomvu ,kasema wao wamepewa maelekezo kutoka ktk Management.

So unapozungumzia Management manake ni timu ya watu wenye nafasi za juu za kufanya maamuzi ya kampuni husika,Kusaga akiwa ndiye mwenyekiti wa hiyo Management ,nashangaa anaposema hajui.

Alafu Clouds kwani WCB ndio wasanii wa kwanza kuwazuia nyimbo zao zisipigwe,mbona basi hawapigi nyimbo za Jide?
Mbona hawapigi za Wagosi wa Kaya?
Mbona hawapigi za Rama Dee?
Mbona hawapigi za Suma G?
Ina maana hawa wote waliwandikia barua hawataki nyimbo zao kupigwa?

Why wanaumia sana kwa WCB kukataa nyimbo zao zisipigwe?Wakati wao wenyewe mwanzo bila sababu ya msingi walizuia nyimbo zisipingwe.

Kwa nini wasiumie kutokupiga nyimbo za Jude,Suma G,Rama Dee,Wagosi wa Kaya?

Kuna ubaya gani Management ya WCB kukataza nyimbo zao zisipigwe,wakati wao kupitia Management yao walisema hamna kupiga nyimbo ya WCB.
Na hili ka Kusaga kujifanya alikuwa hajui kwangu haliingii akilini hata chembe!! Kama ulivyosema hapo juu, WCB sio wa kwanza, na wala hawatakuwa wa mwisho!!! Na kelele za Marehemu Ruge kulalamikiwa hazikuwa kelele za chini chini bali za juu zilizokuwa zinasikika hadi bungeni, ndo maana yaliwahi kufanyika mapatano kati ya Ruge na Sugu, na yalianzia kwa Waziri wa Habari wa wakati huo!

Sasa haiingii akilini kwamba Kusaga hafahamu kinachoendelea mjengoni! Lazima nae alikuwa anabariki hizi bifu vinginevyo, kama asingezitaka, Ruge peke yake asingekuwa na nguvu ya kuendekeza mabifu namna ile!! Tena nakumbuka kwa bifu la JD, yeye moja kwa moja alimripua Joe!
 
Bro,unatumia nguvu kubwa sana kuwajibu wajinga,temana nao waache wajione washindi.
Naangalia mtu na mtu! Unajua jamvi kama hili, kuna wengine ni haters tu kwahiyo hata wakiujua ukweli wataupindisha lakini kuna wengine ni kweli wanakuwa hawajui lakini hawana negativity yoyote!!! Mara nyingi, linapokuja suala la Wasafi Media, hawa ni wale ambao walimezeshwa uongo wa Mange Kimambi kwa sababu walikuwa wanamfuatilia lakini hata TCRA walipokuja kuanika ukweli, hawakubahatika kuuona, na kwao "ukweli" unabaki ule ule ambao waliambiwa na Mange!
 
Naona kuna Watu wanachanganya mambo
Mke wa JOE Anahisa wasafi TV & radio na hana hisa wala nguvu yoyote kwa shuguli nyingine za WCB.
Hisa za mke wa Joe hazimiliki kuwa mmiliki mwenza wa kingine zaidi ya TV na radio kwahiyo wasanii wa wasafi hawapokei maelekezo kwa yeyote zaidi ya menejimenti yao inayomiliki pia Radio na TV.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa kusaga ameona kama tumeshindwa kuwaangusha tuungane nao.
Sasa menejimenti ya WCB wako sahihi kutaka kujua sababu za kutopigwa nyimbo zao kwa miaka kadhaa.
Kama menejimenti wanapaswa kujua wapi wafanye marekebisho ili wawe vizuri zaidi.
Wanahaki ya kujua nini warekebishe wasinuniwe tena na CMG.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda mzazi wako ndo atakiri kosa kwako na kukuomba msamaha. Mzazi wa kiafrika anayejiamini akuombe wewe msamaha??? Eti kisa alikuchapa zamani bila kujua kosa?? Hauko serious wewe unaleta drama mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwanza mtoto mwenye adabu huwezi kukaa kumuuliza baba eti kwa nini ukinipiga bila makosa. Kwanza unaanzaje?

Mtoto mwenye adabu unatakiwa uende na baba yako ivo ivo na kama una akili nzuri pia huwezi ukakataa kumuhudimia (kulipa kisasi kwa baba yako) eti kisa alikuchapaga bila makosa huko zamani. Nina imani hata eewe uliyendika hapa huwezi kufanya huo undezi.


Kama Kusaga (mzazi) aligundua alikosea hapo nyuma mtoto (Wasafi) hakutakiwa kumwambia baba jieleze la sivyo sikuhudumii. Hiyo ni adabu ya wapi? Kwanza personally Diamond (kama kiongozi wa Wasafi) kumwambia Kusaga ajieleze ni kukosa adabu sana.
Clouds na Wasafi nazifananisha na Freemasons

Freemasons
they are secrett society ambao kuanzia vikao,ibada zao,sherehe zao zinafanyika kwa siri sana bila watu wa nnje kufahamu,watu huiongelea Freemason kwa maneno ya kusikia tu na kuhisi hisi ila hamna anaejua ukweli au kuthibitisha anachokiongea.

Clouds na Wasafi ni kampuni mbili tofauti zenye mmiliki mmoja mwenye team mbili tofauti,ili kuweza kuunganisha team zake ni lazima huyu mmiliki aishi kama walivyo freemasons.

Tutasema kila tuwezacho ila ukweli wanaujua wenyewe hizo media mbili wanakutana saa ngapi,wanafurahia mafanikio yao muda gani,naamini kabisa hizi kampuni mbili "kuna siri kubwa ndani yake watu wa nnje hatuwezi ijua" so tunavyo zi discuss ni sawa na kupiga tu story ambazo hazina mwisho.

Nionavyo mimi

Clouds ni mzazi na Wasafi ni mtoto

Kuna kasumba ya kwamba mzazi hakosei (sio kweli) Mzazi kuna wakati anakosea na wazazi wapo baba na mama mara nyingi ukifanya kosa mama akikusemea kwa baba Utazibuliwa hiyo haijalishi baba kaona kosa ulilofanya ila anakuadhibu kwa sababu anaamini "mama" hawezi kukusingizia.

Baba anapokuadhibu japo hajaona kosa ulilofanya hawezi kaa upande wako maana itakua ni kama kakubali ungana na ujinga wako,kivyovyote vile baba ataungana na mama na wote watakua na hasira juu yako.

Miaka inaenda mtoto aliyeadhibiwa na baba umri unakua akili inapanuka,akiwa mkubwa anakumbuka kuna siku baba alinipiga kwasababu mama alimwambia kuwa alikosea,mtoto anaamua kumfata baba kwa ujasiri kumuuliza swali

Eti baba nilipokua mdogo kuna siku ulienda kazini uliporudi mama akakwambia mimi nilifanya kosa,wewe ulinipiga sana ile siku hadi ukaniachi hii alama,Hivi baba kwann ulinipiga vile? ulikua na uhakika gani kua ni kweli nilifanya kosa? unajua mama alinisingizia siku ile akaniambia ukirudi lazima akwambie ili unichape?

Mtoto atamtwanga baba maswali kisha atamrudisha baba nyuma atamuelezea sababu za kwann mama aliamua kumsingizia ili achapwe...

Baba huyu baada ya kuelewa sababu na kugundua kweli mwanae alisingiziwa sasa inampasa kwanza "kukiri kosa" na pili inampasa tena "kumuomba msamaha" mtoto wake, "Huyo ndie mzazi bora".

ila ukiona mzazi anapoulizwa maswali na mtoto magumu magumu halafu mzazi anatumia Mabavu,ubabe,cheo cha "mzazi" kutomjibu mtoto anaamua tu kumfokea na kuyapangua maswali,unagundua fika huyu mzazi kuna NATI kichwani haijakaza ana upungufu wa kinga ya HEKIMA akilini mwake.

Sioni tatizo wala shida kama JOE atakiri kosa na kuomba msamaha, kwenye case hii namuweka JOE kama BABA na marehemu kama MAMA, ila anapoendelea kushupaza shingo kutafanya mtoto aone BABA nae ni wale wale tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda mzazi wako ndo atakiri kosa kwako na kukuomba msamaha. Mzazi wa kiafrika anayejiamini akuombe wewe msamaha??? Eti kisa alikuchapa zamani bila kujua kosa?? Hauko serious wewe unaleta drama mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwanza mtoto mwenye adabu huwezi kukaa kumuuliza baba eti kwa nini ukinipiga bila makosa. Kwanza unaanzaje?

Mtoto mwenye adabu unatakiwa uende na baba yako ivo ivo na kama una akili nzuri pia huwezi ukakataa kumuhudimia (kulipa kisasi kwa baba yako) eti kisa alikuchapaga bila makosa huko zamani. Nina imani hata eewe uliyendika hapa huwezi kufanya huo undezi.


Kama Kusaga (mzazi) aligundua alikosea hapo nyuma mtoto (Wasafi) hakutakiwa kumwambia baba jieleze la sivyo sikuhudumii. Hiyo ni adabu ya wapi? Kwanza personally Diamond (kama kiongozi wa Wasafi) kumwambia Kusaga ajieleze ni kukosa adabu sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni biashara sio mambo ya wazazi lazima uelewe hivyo na kwenye biashara hakuna mambo ya umri sijui wewe ni mzee au kijana so ulichoandika hakimake sense.
 
Kuna msemo uswahilini unasema JINO MOJA TU MSWAKI WA NINI?,Ndio hii wasafi fm inasikika mkoa mmoja tu,kelele zote hizo za nini?,wangesikika mikoa yote tusingelala humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujaelewa nilichosema mkuu. Sijasema uongozi wa Clouds haukuwazuia watangazaji kupiga nyimbo za WCB Label. Nimesema sababu za kuwazuia huwezi wewe kuzi predict kama unavyofanya hapa. Pande zote mbili (managements za CMG na WCB Label) wakihojiwa ndo wana sababu zenyewe hasa na unaweza ukabaki mdomo wazi. Ndo nikasema sisi tunaweza kuwa tunaona Clouds labda ndo wakosaji (kwa kutumia hizi sababu zetu tulizo nazo) kumbe ukisikia wao sabahu zao za kutopiga nyimbo za WCB Label unaweza kukuta WCB Label ndo wakosaji. No one knows really.

Lakini pia hata kama Clouds wangekuwa wakosaji au WCB Label wangekuwa wakosaji bado kwa watu smart ni suala la kukubali kumaliza tofauti zao na maisha yakaendelea (especially inapotokea upande mmoja ukaonesha nia ya kumaliza tofauti). Kitendo cha upande mwingine kukataa suluhu ni jambo lingine linaloonesga tabia binafsi ya wahusika. Na hapo ndo linapokuja suala la Uswahili wa mameneja wa WCB Label wanalolisema wana nzengo. Nafikiri tuko pamoja arifu

NB. Kuna watu wanachanganya WCB Media na WCB Label katika hili suala.
Maelezo hayo nimeyapata kupitia mfanyakazi wake Mchomvu ,kasema wao wamepewa maelekezo kutoka ktk Management.

So unapozungumzia Management manake ni timu ya watu wenye nafasi za juu za kufanya maamuzi ya kampuni husika,Kusaga akiwa ndiye mwenyekiti wa hiyo Management ,nashangaa anaposema hajui.

Alafu Clouds kwani WCB ndio wasanii wa kwanza kuwazuia nyimbo zao zisipigwe,mbona basi hawapigi nyimbo za Jide?
Mbona hawapigi za Wagosi wa Kaya?
Mbona hawapigi za Rama Dee?
Mbona hawapigi za Suma G?
Ina maana hawa wote waliwandikia barua hawataki nyimbo zao kupigwa?

Why wanaumia sana kwa WCB kukataa nyimbo zao zisipigwe?Wakati wao wenyewe mwanzo bila sababu ya msingi walizuia nyimbo zisipingwe.

Kwa nini wasiumie kutokupiga nyimbo za Jude,Suma G,Rama Dee,Wagosi wa Kaya?

Kuna ubaya gani Management ya WCB kukataza nyimbo zao zisipigwe,wakati wao kupitia Management yao walisema hamna kupiga nyimbo ya WCB.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujaelewa nilichosema mkuu. Sijasema uongozi wa Clouds haukuwazuia watangazaji kupiga nyimbo za WCB Label. Nimesema sababu za kuwazuia huwezi wewe kuzi predict kama unavyofanya hapa. Pande zote mbili (managements za CMG na WCB Label) wakihojiwa ndo wana sababu zenyewe hasa na unaweza ukabaki mdomo wazi. Ndo nikasema sisi tunaweza kuwa tunaona Clouds labda ndo wakosaji (kwa kutumia hizi sababu zetu tulizo nazo) kumbe ukisikia wao sabahu zao za kutopiga nyimbo za WCB Label unaweza kukuta WCB Label ndo wakosaji. No one knows really.

Lakini pia hata kama Clouds wangekuwa wakosaji au WCB Label wangekuwa wakosaji bado kwa watu smart ni suala la kukubali kumaliza tofauti zao na maisha yakaendelea (especially inapotokea upande mmoja ukaonesha nia ya kumaliza tofauti). Kitendo cha upande mwingine kukataa suluhu ni jambo lingine linaloonesga tabia binafsi ya wahusika. Na hapo ndo linapokuja suala la Uswahili wa mameneja wa WCB Label wanalolisema wana nzengo. Nafikiri tuko pamoja arifu

NB. Kuna watu wanachanganya WCB Media na WCB Label katika hili suala.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwangu mimi sioni kama WCB kama wamekosea kwani wasanii kibao wamebaniwa na CMG mara kibao.

Sugu mwenyewe nyimbo zake walikuwa hawapigi ,naye akaamua kuwaonyesha ,siku wanapiga show ya Fiesta Mbeya na yy akachukua wasanii,wakongwe na walio baniwa na CMG ,Sugu akajaza ,Fiesta ikawa na mapengo kibao.Baada ya vuguvugu kuwa zito Mbowe na Mchimbi wakamwomba Sugu wayamalize na CMG na ukawa mwisho wa beef.

Mameneja hawana uswahili bali wamefanya kama walivyofanya wao tofauti yao,CMG wameeanza wao wenzao wanamaliza.

Pili kwanini WCB na wala si Jide,Rama Dee,Mapacha,Suma G,Wagosi Wakaya ina maana hawa Kusaga kakataza nyimbo zao wasipige ila Karuhusu za WCB?

Huoni kama UNAFIKI na UBAGUZI,kama umeamua kupiga basi piga zote,kama umezuia basi zuia zote.

Unaanzisha beef alafu wenzako wakireact unaanza kutia huruma,we kama umeamua kukaza kaza.
 
Back
Top Bottom