ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Nakataa kwasababu Ruge na Kusaga wote ni sehemu ya TOP MANAGEMENT ya Clouds, sasa kujifanya ajui jambo kama hili inaleta mashaka na uongo wa wazi wazi
Wakikaaga vijiweni hizo ndio story zao.Clouds sio media yake.... ni kampuni ya familia acha uongo....hivi nyinyi hizi habari za uongo huwaga mnazitoa wapi......?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni Msukule wa Muziki Mzuri.Kama vile wewe ulivyo msukule wa kiba
Hata ukipost huo wimbo haiondoi wewe kuwa msukule wa kiba?Mimi ni Msukule wa Muziki Mzuri.
Hebu silkiliza hapa vibe, achana na Nyimbo za kujikombakomba za Bashite Baba lao.
Zikipatana zitakosa mashabiki, bifu lao ni la kuingiza Hela.Kumbe kusaga anamiliki wasafi, kuna mtu niliwahi kumbishia kuwa ni uwongo dats why clouds na wasafi hawapatani, duuh kumbe kweli, sasa anashindwa vipi kuzipatanisha hizo media zake, ili zifanye kazi kwa ufanisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakikaaga vijiweni hizo ndio story zao.
Zikipatana zitakosa mashabiki, bifu lao ni la kuingiza Hela.
Usikatae kabla Ruge hajafariki mda mwingi alikuwa akiishi Dubai Ruge ndo alikuwa master mind wa kila kitu pale MjengoniNakataa kwasababu Ruge na Kusaga wote ni sehemu ya TOP MANAGEMENT ya Clouds, sasa kujifanya ajui jambo kama hili inaleta mashaka na uongo wa wazi wazi
Na salaam ndo kamfikisha hapo alipo...Domo alisema haitaji media zipige nyimbo zake ndio watu wakaacha kupiga nyimbo zake, before kusema hivyo wakati huo sk alikuwa amepanga kumdhaliisha marehemu Ruge ndio beef likaivia hapo. Lakini ukiangalia jana alichosema Jo kupitia The Bar Tender nikwamba aliwaambia team yake ya clouds kupiga nyimbo za wasafi ilikuondoa tofauti iliopo katiyao. clouds walitaka kupiga nyimbo ya mboso uwongozi wa wasafi ukawambiia walikuwa wapi miaka 5 iliopita wasipige Jo akambiwa aandike barua kuomba kupiga nyimbo za wasafi kitu ambacho Jo aliona ni fedhea na kujidhalilisha kufanya kitu kama hicho. Ninachokiona mm tatizo sio domo tatizo domo anaendeshwa na sk ndio anapeleka vitu ovyo.
ππ sk mjanja mjanja tu domo toka kaipga collabo Davido alikuwa kashatoboa jamaa ni chawa tu hanalolote.Na salaam ndo kamfikisha hapo alipo...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hao uliowataja nyimbo zao hazipigwi popote kwasababu ni za zamani labda watoe mpya au wakae wasubiri kipindi cha old is gold.
Hayo maswala ya chuki sijui haters utakuwa unajichosha bure tu kwasababu ya mahaba.
Huyo ni Clouds tu leo katoa maelezo, bado kuna EATV, EFM nk wote hawapigi nyimbo za WCB jiulize kwanini.
Meneja kichwa maji ni kichwa maji tu hana muda wa kujirudi hata akigundua makosa yake.
Hao clouds huenda wamegundua shida yao iko wapi wakaamua kujirudi na kupiga nyimbo za wcb sasa gafla wanapokea barua ya menejiment inayoonyesha mlengo wa kuendeleza mvutano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nae huyo kipofu wakujitakiaEti hana hits songs, embu nitajie msaani wako mwenye maajabu kama haya..
acha kupayuka payuka kama watu wa kimataifa wewe[emoji16][emoji16]
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1289314View attachment 1289315
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu fanya mpago ule chakula cha mchana kwanza.Hebu tumia kichwa kufikiri kabla kuandika hapa,inamaans hujui kama jide mwaka huu katoa nyimbo mpya?hujui kama dudu baya anangoms kadhaa mpya ikiwemo ile ya konki aliyomshirikisha rayvanny?Je zimepigwa lini clouds?Haters mmefeli kumwangusha diamond ndio maana mmetumia ule msemo wa. Ifu can't fight them join them,ila Kwa bahati mbaya mmefeli tena maana hamuaminiki tenaa
Daudi Mchambuzi,
I second you, sifikirii kama ilikuwa sawa kumwambia kusaga na Clouds kuandika barua kujieleza kwanini hawakuwa wanapiga nyimbo zao.....
Mtu mzima kakaa chini kafikiri kuwa pengine sio sawa kutopiga nyimbo za wasanii husika na yeye kama mwenye media kaona sio sawa.... sasa kumwambia aandike barua kujieleza ni ujinga kabisa na kutafuta na kuendeleza mabifu yasiyo na msingi wowote ule hapa wamekosea lazima tukubali
Mkuu kumbe hujui tricks za biashara we!!? Kama Ni kweli office zote mbili Ni zake au anashare huko, basi Hilo bifu ndo Lina muingizia mpunga!!! Sanuka mkuuKumbe kusaga anamiliki wasafi, kuna mtu niliwahi kumbishia kuwa ni uwongo dats why clouds na wasafi hawapatani, duuh kumbe kweli, sasa anashindwa vipi kuzipatanisha hizo media zake, ili zifanye kazi kwa ufanisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui chochote...!! Sk mwache Tu abaki hvyo hvyoππ sk mjanja mjanja tu domo toka kaipga collabo Davido alikuwa kashatoboa jamaa ni chawa tu hanalolote.