Kusaga : Tulipopiga wimbo wa Mbosso tuliambiwa tujieleze kwanini tulikuwa hatupigi nyimbo za wasanii wa Wasafi. Uongozi wa WCB uulizwe

kuna mtu wa musoma anayeitwa "kusaga"?
Kumbe wewe unaangalia jina. Ngoja nikuelekeze uelewe. Nimewahi kutembea na binti wa kisambaa anaitwa Evelyn Kusaga. Hivyo, inawezekana kuna Kusaga wasambaa. Mfano jina la Mukama lipo kwa wajita na wahaya, Palapala lipo kwa wanyamwezi na watu w Bunda, Mara. Rutaba lipo kwa waha na wahaya. Mbelwa lipo kwa wahaya na wanyamwezi. Upo hapo? Kusaga ninawafahamu personally. Wana udugu wa mbali upande wa umamani kwangu; mama yangu ni mruri na baba yangu ni mhaya wa Kanyengereko, Bulambizi.
 
jibu swali acha porojo
 
Huenda nabishana na mtoto mdogo. Ungekua mhenga ungemjua vema.
Ok njoo PM nikupe uthibitisho bwana mdogo. Ila sishangai alias name yako ina reflect. Akina Chinga huwa wabishi sana.
we jamaa bana nimekuuliza swali dogo tu but unazuunguuuka ndo mana mnafeli shule "kuna mtu wa musoma anaitwa Kusaga?"
 
we jamaa bana nimekuuliza swali dogo tu but unazuunguuuka ndo mana mnafeli shule "kuna mtu wa musoma anaitwa Kusaga?"
Acha kupenda majibu ya kutafuniwa. Unasoma between the lines, kisha unachakata akili yako unajiongeza. Jibu ni rahisi, kama Kusaga ni mjita maana yake wapo watu wa Musoma wana majina ya Kusaga. Ungekua mhenga wala tusingefika huku. Mi navyokuona shabiki kindakindaki nikajua wammanya vema mzee JK. Ndiyo maana nikakupa ufafanuzi mpana uelewe. Ungekua mhenga wala tusingefika huku. Wewe bila shaka umeanza kumsikia miaka ya karibuni Jo.
 
blah blah za nini bwana mdogo mbona jibu la "Yes or No" linatosha kabisa.
 
HUYO HUYO KUSAGA ALIPOHOJIWA NA CLOUDS ALISEMA ANA WATOTO WENGI ILA MTOTO WA KWANZA NI WA KWANZA TU NA ANAMPENDA ZAIDI.
SIKU CHACHE NYUMA PIA ALIHOJIWA NA BABY KABAE AKAULIZWA WASAFI TV NI YA KWAKO? AKAJIBU YEYE NI MMILIKI WA VITUO VYOTE VYA VIJANA.
NAFIKIRI KUSAGA HAPENDI KUJIONYESHA KUTOKANA NA SABABU ZA KIMASLAHI LABDA KAONA KUNA KITU FLANI KITAPUNGUA.
Alishafanya hiyo interview,nilimsikiliza sana. Mbona ile interview yeye kaonyesha wazi hana share pale,isipokuwa ksbb ya ukongwe wake kwenye hiyo tasnia huwa anawapa tu ushauri.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…