Kusahau kufunga Mlango wa Gari kunaweza kuua/ kuathiri uzima wa Battery ya Gari

Kusahau kufunga Mlango wa Gari kunaweza kuua/ kuathiri uzima wa Battery ya Gari

Excel mkuu ,kuhifadhi Mahesabu , Madeni ya wateja , Order za wateja ,Gharama za production ,Stocks ,Daily Operation cost zote naziandika kwenye excel...Mali bila daftari(excel) hupotea bila habari.
Good mkuu, mchanganuo mzuri.
Ingawa niliingiza kautani tu 😁
 
Ukiacha mlango wazi au hta taa ikiwa inawaka kwa muda mrefu battery huwa inanyonywa,kuhusu hilo swala la vioo kutopanda au kushuka mara nying inatokea ukibadlisha/kuweka battery gari hupoteza kumbukumbu ndio maana unaweza kuona hta saa itabadlika majira..
Kusolve swala la vioo kutopanda,fanya hivii.. muwe watu wawili mmoja anashusha upnde wa mpango hucka mwengine anashusha kwny switch ya ule ule mlango kwa kutumia button iliyopo upande wa dereva.. wote kwa pamoja mnashusha mpk chini,then mnapandisha mpaka juu kwa pamoja.. Tatzo lako ya vioo litakuwa solved[emoji56]
 
Ukiacha mlango wazi au hta taa ikiwa inawaka kwa muda mrefu battery huwa inanyonywa,kuhusu hilo swala la vioo kutopanda au kushuka mara nying inatokea ukibadlisha/kuweka battery gari hupoteza kumbukumbu ndio maana unaweza kuona hta saa itabadlika majira..
Kusolve swala la vioo kutopanda,fanya hivii.. muwe watu wawili mmoja anashusha upnde wa mpango hucka mwengine anashusha kwny switch ya ule ule mlango kwa kutumia button iliyopo upande wa dereva.. wote kwa pamoja mnashusha mpk chini,then mnapandisha mpaka juu kwa pamoja.. Tatzo lako ya vioo litakuwa solved[emoji56]
Asante kwa ushaur wako nimetibu tatizo kama hilo ila bado kioo kimoja kikifika juu kinajishusha badala ya ku stop
Au kukishusha
 
Aiseeeee mambo ya kusahau ni hatari ,leo sijui ingekuwaje ,gari ilikuwa imepaki kwenye jua muda mrefu wakati wa kuiwasha nikashusha vioo vyote kuondoa joto kwanza ,katika kupandisha nikasahau kupandisha kioo kimoja cha nyuma ,nikatembea umbali mrefu kidogo kagiza giza mpaka kakaingia.

Nikafika sehemu nikaipaki ili nichukue mazagazaga ya kwenda home nayo ,nikaacha simu mbili kwenye kiti cha abiria mbele Smart na Kitochi na pia nikaacha Laptonga ila niliiweka chini ya kiti...Nikapotea kutafuta Mazagazaga kama 15mins hivi,ile narudi kuangalia daaaaah dirisha la nyuma lipo wazi,kitu cha kwanza ni kufungua mlango na kuangalia chini kama laptop ipo ,aiseee sikuamini niliikuta ,nikaangalia mara tatu kama ni kweli au macho yangu yanaona vibaya,baada ya hapo ndio nikaangalia simu nazo zilikuwepo.

Nafikiri giza watu walihisi ni TINT ndio maana hawajajua kama kioo kilikuwa hakijafungwa....USAWA huu wa Mi5 tena ningetoa wapi hela ya kununua Laptop na Smart Phone? Simu na laptop nilinunua kipindi cha kikwete!!
Wangekusuuza tu, sema laptop sio rahisi wangeiba simu tu laptop unless ungekuwa umeifungasha na miwayawaya inayoonekana kirahisi.
 
Sasa hiyo mitano mimi inaniathiri vipi? Nyie watu wa akili hizi sijui mliwezaje zaliwa. Mimi hata ukisema 100 tena maisha yangu yapo vile navyopenda yawe. Mnadhani sisi sote ni walamba viatu vya wanasiasa?😁 Wewe bwege sana. Nyie endeleeni kudandiwa migongoni na wanasiasa. Sisi hatufanyi siasa. Tunafanya maisha.... Jibu suala linalozungumzia.

Unaleta hbr za kipumbavu eti sijui laptonga, sijui ulinunua wakati wa kikwete. So what? Ushamba unakusumbua. Kama unakiri kuwa ulinunua kipindi kile na sasa huwezi pata hizo pesa huoni unamsema vibaya Rais? Akili mlipotezea wapi.
Kila mtu awaze na kufikiri km wew.....pumbafu heshimu maoni ya mwenzio we ni nani mpaka uwapangie wenzio cha kuandika,vitu vingine km havikuhusu unapita.Alaf unaonekana uelewa wako finyu,unawezaje kutofautisha siasa na maisha yako ya kila siku?Siasa sio proffesion za watu jinga wew
 
Kila mtu awaze na kufikiri km wew.....pumbafu heshimu maoni ya mwenzio we ni nani mpaka uwapangie wenzio cha kuandika,vitu vingine km havikuhusu unapita.Alaf unaonekana uelewa wako finyu,unawezaje kutofautisha siasa na maisha yako ya kila siku?Siasa sio proffesion za watu jinga wew
Utatumia IDs zako zote kujisupport 😂😂😂 bado zile nyingine. Unatokwa povu sehemu zako za mwili zote zenye uwazi...... Kwa nini unateseka na upumbavu wote huo? Unakusaidia nini?
 
Huenda battery imeshakufa, haina uwezo wa kutunza moto kwa muda mwingi...

Vile vile cheki alternator kama inafanya kazi vizuri.
 
Back
Top Bottom